Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Kuuliza kipindi kitakuwa live au recorded ndiyo swali la kitoto?

Haya basi ngoja niukize swali la kikubwa.

Hivi ile hospital ya kina mama na watoto pamoja na machinga compelex ujenzi wake umefikia wapi huko Arusha?
Umefikia..mwisho....ehe..swali lingine?
 
Lema Amenifundi au Amenikumbusha kitu kikubwa sana kuhusu kujenga Maadili ktk familia zetu, thnx Kamanda Mungu wetu akubarki kwa baraka zote za Rohon, Akilin na mwilini
Hata mimi hilo limenibariki sana. Lema ameongea facts tupu, tatizo humu kuna itikadi za ccm vs cdm. Ujinga mtupu.
 
Kama lema ndio waziri kivuli wa mambo ya ndani ni aibu anaongea mambo ya kitoto tu sijaona hoja ya maana ya kuendelea kumpa muda wa kuja kuongea ITV
 
Lema ni nani nchi hii hadi waache shughuli zao wamfatilie? Wana Arusha walipata hasara.

ni jamaa flan amazing aliyewapiga daflau ccm Arusha Kwa kura 100,000 Kwa 5000 za magamba....ilikuwa aibu ya mwaka!
 
Kama lema ndio waziri kivuli wa mambo ya ndani ni aibu anaongea mambo ya kitoto tu sijaona hoja ya maana ya kuendelea kumpa muda wa kuja kuongea ITV
Jesca huwezi kumuelewa Lema kwa sababu wewe ni kilaza..
 
Atuambie machinga complex na hospitali ya mama na mtoto alizotuahidi wana arusha ziko wapi
Acha kujitia mwana Arusha wakati maendeleo ya Arusha yetu huyajui, hospital ya mama na mtoto inaendelea na ujenzi karibu utembelee site ujionee, kuhusu machinga complex meya wenu wa kichina Lyimo alibaka hilo wazo na kuzuia site ujenzi usiendelee kwa kusema eneo lina mgogoro ili Lema aspate kura tena,na kuamua kulifanya stand ya hiace hapo soko la kilomberoila mchakato wa kupata eneo lingine unaendelea
 
Kwa upande mwingine wapo wapinzani wanatamani sana kufanya kazi na serikali ya awamu ya 5 ila vikwazo vipo kwa viongozi wao.

"Raisi Magufuli akiniteua kuwa Waziri wa Mambo ya ndani, nitafanya kazi nae nikipata kibali toka kwa Mwenyekiti". Haya ni maneno ya mbunge wa ukawa Godbles Lema!

Wapinzani kama hawa, kimoyomoyo wanaikubali serikali, ila mashinikizo ya chama yanawazuia. Karibu CCM ndugu Lema upewe uwaziri kamili.
 
Itakuwa ngumu maana ile kauli ya wapigwe tu itakuwa haitekelezeki na kumbukeni kwamba mambo ya ndani ni mtaji wa watawala dhidi ya wapinzani
 
Kwa upande mwingine wapo wapinzani wanatamani sana kufanya kazi na serikali ya awamu ya 5 ila vikwazo vipo kwa viongozi wao.

"Raisi Magufuli akiniteua kuwa Waziri wa Mambo ya ndani, nitafanya kazi nae nikipata kibali toka kwa Mwenyekiti". Haya ni maneno ya mbunge wa ukawa Godbles Lema!

Wapinzani kama hawa, kimoyomoyo wanaikubali serikali, ila mashinikizo ya chama yanawazuia. Karibu CCM ndugu Lema upewe uwaziri kamili.
Na wewe tukuiteje?.. Akili kubwa?... ha ha hahaaaa
 
Yaani ccm wakisikia jina LEMA wote akili zinaama kabisa ebu cheki hapo juu wanavyotoka jasho kwa kubwabwaja ujinga hahaha
 
Lema yupi yule mwizi wa magari

Mama taratibu tafadhali! Kama ccm na serikali yake na machinery zao zote wameshindwa hata kumbambia gari la uongo la wizi licha ya mchaka mchaka aliowakimbiza Arusha kwa vipindi viwili sasa, wewe unatoka wapi na tuhuma kama hizo? Usipende kuokota umbea wa barabarani kutuhumu watu mambo usiokuwa na uhakika nayo!
 
Amesema eti bungeni wanatunga sera! Sasa watunga sera wakiwa walevi.........Yule jamaa mkali, mzee wa sera!
 
Back
Top Bottom