technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Yaani kama hali itaendelea hivi kuna shida sana baadaeSoon habari hii itakuwa All over the world na atapatikana wakuisemea tu...
Wanakuelewa sasa unaposema? Hakuna anayekusikia Jamaa alishawai kutamka kuwa hii Serikali si ya mtu ni ya Magufuli sasa matokeo yake ndio haya.Wacha isambae zaidi na zaidi.
Hawa uchwara lazima na wao wai feel pinch yake.
Hii Nchi ni yetu wote jamani..
Sio ya akina fulani tu.
Soon habari hii itakuwa All over the world na atapatikana wakuisemea tu...
Anajipa promo yeye mwenyeweHatuhitaji kumwita Rais Magufuli Dictator maana dunia nzima inajua Magufuli ni nani?
penye ukweli uwongo huumbuka,,,,,,,,,,,,haingii akilini serikali idai inapambana na ufisadi halafu ipambane na mpiga mbiu wa hamelini,,,,,,,,,,,,,,
Serikali haifanyi mashindano fahamu hilo kwanza,ila sema kufahamika kwa Fursa ktk nchi ni muhimu sana kimataifa mfano,issue ya Utalii na Uwekezaji na nini kinapatikana Tanzania.Afadhali mtandao wetu unazidi kupata umaarufu kuliko hata media za Serikali ukizijumlisha zote na zile za binafisi zenye mlengo wa ccm