Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

Stori zako za kutunga mara umeoa mara upo single leo tena uliyemuacha koalewa na tajiri
 
😃😃😃 kwani mnatesekaga nini lakini????
Yaani mnahaha ma Ex wenu wakipata wengine..
Wewe ukisema "cha nini?" wenzio wanasema "watakipata lini?"
 
Pole Sana ,Mungu ndo hutajirisha Mungu ndo hufukarisha
Humwinua mnyonge kutoka mavumbini na kumketisha na wakuu
 
😃😃😃 kwani mnatesekaga nini lakini????
Yaani mnahaha ma Ex wenu wakipata wengine..
Wewe ukisema "cha nini?" wenzio wanasema "watakipata lini?"
Kinachouma nini unajua,utakuta mtu umemchukua yupo kama moja imagine then anondoka ana 8 utajiskiaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Roho mbaya kama hizo zitawafikishaga wapi?? Kama MTU humtaki achana nae ila mtakie heri Dunia duara hii ohooo•••
 
Kwahio ulitaka ateseke mzee baba 🤣🤣🤣 hukujua kama una lulu?
 
E-wife wangu namuombea kwa mungu apate mme aolewe maana anavyohangaika kwa waganga ili nirudiane nae na kunipiga minuksi ili niharibikiwe ionekane nilikuwa natembelea nyota yake sio ya nchi hii.
 
Bora alivyopata tajiri maana wewe ungezidi mtia umasikini..
🚶🚶
 
Back
Top Bottom