Unajipigia pande huna loloteKwangu hakukosa chochote ,umasikini katoka nao kwao
hukujua ni daladala ukishuka mwenzako anapanda eti kuna kamsemo ni halua haina makomboImenitokeaga na mimi kwa JAckie wangu matokeo yake kaolewa na tajiri tena mwenye bunduki.
Kuna bunduki za sina mbili, Ipi unamanisha wewe?Imenitokeaga na mimi kwa JAckie wangu matokeo yake kaolewa na tajiri tena mwenye bunduki.
Dah kweli uchawi sio kologa tu, hata roho mbaya.Nilidhani atateseka ili awe na adabu cha ajabu kaolewa na jamaa tajiri mpaka roho inaniuma.
Poa bwana ila freshi tu yote maisha.
Hamna mkuu, ulikuwa unajaza gundu tu siku zote ulipomuacha gundu lako likawa limeondoka .Kasafiria nyota..ila fresh tu
Hapana mkuu🤭🤭Ndo unapiga vijembe au?
Nilidhani atateseka ili awe na adabu cha ajabu kaolewa na jamaa tajiri mpaka roho inaniuma.
Poa bwana ila freshi tu yote maisha.