Ni vema ulimwacha, angeanza yeye ungeumia zaidi. Ukiona panya anakukenulia meno jua shimo liko karibu. Mabadiriko ya tabia aliokuonesha tayari alisha kutana na huyo tajiri.Sik
Sikumuombea mabaya...ni katika hali ya kuwekana sawa kitabia
Ni vema ulimwacha, angeanza yeye ungeumia zaidi. Ukiona panya anakukenulia meno jua shimo liko karibu. Mabadiriko ya tabia aliokuonesha tayari alisha kutana na huyo tajiri.Sik
Sikumuombea mabaya...ni katika hali ya kuwekana sawa kitabia
Yaan asilimia 90 ya wanaume wakimuacha mwanamke wanafurahia waone anamlilia, amechakaaNilidhani atateseka ili awe na adabu cha ajabu kaolewa na jamaa tajiri mpaka roho inaniuma.
Poa bwana ila freshi tu yote maisha.
Mwambie, wanaonaga tumeinama Kama kobe wanajiona wajamjaaaWanawake tuna mahesabu yetu usituone tupo tupo tu
Pole lakini
Mwanamke hakomeshwi [emoji4]