Dah! Ila wanawake mnavumilia mengi

Dah! Ila wanawake mnavumilia mengi

mwonekano
Hapo umemtamani , uzuri ni neno pana asee, kuna watu Wana mionekano mibaya Sana nje , lakini deep inside wako vizuri, na wengi wao ndo wanolewa , unamjua ndani Zaid sister?

Sent
 
Hapo umemtamani , uzuri ni neno pana asee, kuna watu Wana mionekano mibaya Sana nje , lakini deep inside wako vizuri, na wengi wao ndo wanolewa , unamjua ndani Zaid sister?

Sent
sasa mkuu mbona unauliza swali la kiteja, nimjue ndani zaidi ili iweje au wewe unawajua ndani madada zako?
 
sasa mkuu mbona unauliza swali la kiteja, nimjue ndani zaidi ili iweje au wewe unawajua ndani madada zako?
Wapi nimemsifia kuwa dada yangu Ni mzuri? Huwa tunasifia vitu ambavyo tuna capacity navyo , dada , mama , shangazi Ni beyond our capability hao unaacha Kama walivyo, sio sheria though maana Kuna baadhi yetu humu wana access na dada zao.

Sent
 
Hahaa Unamaanisha wanaume wenye sura ngumu wanahonga hela kirahisi LadyRed
Licha ya hela, ni wanaume haswa(kumbuka mwanaume hasifiwi sura) na wanajua sana mapenzi, na hamna msongamano sana

Wenye sura nzuri hawajali sura zinawabeba,baadhi yao wanalelewa sio watafutaji kama wale wenye sura ngumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom