project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,170
- 1,560
Haaa ila siku shangai ndio maana kwenye avart yako umeweka picha ukimsuka mwanamke kuwa Kwanza maana daa kwa akili yako hiyo mhhh!
tayari, karibu nawe nikusuke ka hutojali
Kumbe ndiyo maana haujibu pm zangu eeehSura haioi, kinachoangaliwa ni upendo wa dhati na uwajibikaji katika kutunza na kulea familia.
Hahahaha! Kama kweli vile
nawe umeolewa na sura ngumSura haioi, kinachoangaliwa ni upendo wa dhati na uwajibikaji katika kutunza na kulea familia.
Duuh haya naendelea kukusubiri.Hahahaha! Kama kweli vile
wenye sura ngum utawajua tu
Usimcheke mamba ungali bado hujavuka mto.Natumai hamjambo wakuu
Jana nilikua naongea na dada angu kwa simu, katika mazungumzo nikatia utani kidogo, dada angu ulivyo mzuri hivyo ilikuaje ukaolewa na sura ngumu vile? Akajibu ukiwa na kipato sura ngumu inavumilika kaka angu.
Nadhani hakupenda utani ule then mwisho akanambia kaka usipende kudharau watu hivyo coz hakuna aliyetaka kuwa alivyo hivyo jitaidi kuwaheshimu watu kama walivyo coz wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, ilibidi nimwombe samahani kama hajapenda
Mwisho niwapongeze wadada wote walioolewa na sura ngumu kwa uvumilivu wa pekee walionao japo wanapitia changamoto nyingi katika jamii zinazowazunguka
ungeangalia avatar usingeniita kijanavijana bwana. .. nilidhani umepost kitu cha maana
Hakunaga sura ngumu mkuunawe umeolewa na sura ngum
si wanaogopa kuachwaWenye sura ngumu wana roho nzuri