Dah! Ila wanawake mnavumilia mengi

Dah! Ila wanawake mnavumilia mengi

Natumai hamjambo wakuu

Jana nilikua naongea na dada angu kwa simu, katika mazungumzo nikatia utani kidogo, dada angu ulivyo mzuri hivyo ilikuaje ukaolewa na sura ngumu vile? Akajibu ukiwa na kipato sura ngumu inavumilika kaka angu.

Nadhani hakupenda utani ule then mwisho akanambia kaka usipende kudharau watu hivyo coz hakuna aliyetaka kuwa alivyo hivyo jitaidi kuwaheshimu watu kama walivyo coz wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, ilibidi nimwombe samahani kama hajapenda

Mwisho niwapongeze wadada wote walioolewa na sura ngumu kwa uvumilivu wa pekee walionao japo wanapitia changamoto nyingi katika jamii zinazowazunguka
Wasambaa wanasema hivi...
"Kofia baya jina mtwi wakwe"

Maana yake ni kila mtu na wake
Wewe ukisema kwanini yeye anasema nitampata vipi

Isitoshe wengine wanashawishika na mapenzi ya mtu kuna watu ni handsome kwelikweli lakini kwenye mapenzi wachovu kweli yaani....so huenda dada yako alimpenda shemejiyo kwa sababu ya ulijali wake anamkuna hadi kwenye maini...niishie hapo
 
kubali kataa ww ni shoga Tena wa kinondoni.najua wanaume tunazidiana ila sio rahis ukute mwanaume anajisifia kuwa yy ni mzuri hata kama ni kweli.ila mwanaume ambae sio ridhiki kama we ni simple tyu

Sent using Jamii Forums mobile app
wapi nimeandika kujisifia uzuri mkuu? kwani mtu kuitwa mbaya ni tatizo? mbona wazuri huambiwa we mzuri
 
Wasambaa wanasema hivi...
"Kofia baya jina mtwi wakwe"

Maana yake ni kila mtu na wake
Wewe ukisema kwanini yeye anasema nitampata vipi

Isitoshe wengine wanashawishika na mapenzi ya mtu kuna watu ni handsome kwelikweli lakini kwenye mapenzi wachovu kweli yaani....so huenda dada yako alimpenda shemejiyo kwa sababu ya ulijali wake anamkuna hadi kwenye maini...niishie hapo
inawezekana
 
basi kama wewe ni mzee then wapost vitu vya kijinga kama hivi. ..itakuwa unashida pahala
hata sina shida pahala bt nimejifunza kile unaona sawa wenzako huona cha kijinga
 
Natumai hamjambo wakuu

Jana nilikua naongea na dada angu kwa simu, katika mazungumzo nikatia utani kidogo, dada angu ulivyo mzuri hivyo ilikuaje ukaolewa na sura ngumu vile? Akajibu ukiwa na kipato sura ngumu inavumilika kaka angu.

Nadhani hakupenda utani ule then mwisho akanambia kaka usipende kudharau watu hivyo coz hakuna aliyetaka kuwa alivyo hivyo jitaidi kuwaheshimu watu kama walivyo coz wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, ilibidi nimwombe samahani kama hajapenda

Mwisho niwapongeze wadada wote walioolewa na sura ngumu kwa uvumilivu wa pekee walionao japo wanapitia changamoto nyingi katika jamii zinazowazunguka

Kakupa fundisho muhimu... Kuwa wanawake wanaangalia mihela na sio kwamba wanakupenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom