Jingle za Pepsi, Coca-Cola na coral paints ni album nzima ya NchumaliHuyu jamaa makampuni yanavyogongana kutaka awatangazie biashara zao huwa hawakosei...
Nilikuwa sijawahi kulisikia hili tangazo la pepsi, huu wimbo nakiri kabisa kuwa ni hit song kwa upande wa matangazo
Hili ni la pili baada ya lile la cocacola la kuonja msisimko
Mwenye nalo la pepsi atupie hapa
Nakazia hapo
Ule wa napuliza kipenga puliza kipenga nalielewa sana jamaa anajua taste ya vitu vizuri kuna watu wanaimba nyimbo melody ngumu kwenye matangazo. Mwingine ninayemkubali ni Enika, na lile tangazo la barnaba tumekusoma la tigo fiesta sijui ya mwaka 2017/18Huyu jamaa makampuni yanavyogongana kutaka awatangazie biashara zao huwa hawakosei...
Nilikuwa sijawahi kulisikia hili tangazo la pepsi, huu wimbo nakiri kabisa kuwa ni hit song kwa upande wa matangazo
Hili ni la pili baada ya lile la cocacola la kuonja msisimko
Mwenye nalo la pepsi atupie hapa
Andika kiume acha ufalaMwenyewe natam angeimba hvo atoe mziki kbx aseeh kwakwel n mziki mzur xna
Nilisha sikiliza mda tyuuh, coca-cola ilikua niLisikilize na hili la pepsi naamini litakuacha njia panda kuamua ni wapi alitisha zaidi
Dah..ivi mtu anawezaje andika kitoto ivi. Mi binafsi sipendiAndika kiume acha ufala
Hakika mkuu,hata ongezeko la joto duniani mkono wa mwamba umehusika mzee baba.Juzi juzi pepsi walikuwa wanasherekea rekodi kubwa ya mauzo kwa mwaka 2020.
Hakika mkono wa mwamba umehusika