Dah! hawa COET-UDSM, wamezidi sasa

Mfumo wa elimu ya coet kwa kweli unakaubabe fulani ila kuna jambo moja nataka nimwambie electrical engineer ni course ngumu sana tena kwa stucture ya hapo mlimani ndio usiseme maana mnasoma course kumi na saba kwa mwaka hasa huo wa pili ambao ndio chujio kwa course nyingi hasa COET watu wanadisco si mchezo.

electrical power nimesoma nao ila kuna vitu vifuatavyo kimtazamo ambao nina uzoefu naona

I. electrical power wanachukuliwa na cut off point ndogo hivyo wanashindwa kuresist load kwa mtazamo wangu (hii ni experience ya mwaka nilikuwa na soma na walio nitangulia mwaka wetu walikuwa 20 wakabaki 11 , mwaka waliotutangulia walibaki 15, mwaka tuliowaacha walibaki 7)

ii. kozi nyingi zinazotoka department tofauti mara ME, TE, MT,DP(ambazo ni ndio course mama ziko chache so unakuta concentration inakuwa ndogo) hili ni tatizo kubwa...
iii. ushirikano kati yenu (hili ni tatizo na tatbia ya kujifanya mnajua baadala ya kusoma kwa pamoja kusaidiana hii sio A- LEVEL kutambiana lazima watakula kichwa tu)

iV. inferior kwa course kama TE na CIT...

v. ubabe wa malecturer hapo coet unajulikana na hadithi zao na mshukuru kuna watu kama dr mvungi,ishengoma hawapo siajabu course nzima mngedisco maana duuh...

kuna haja yakuangalia upya hiyo course ya elecrical power na jinsi wanavyo enroll watu nasema hivi kwa sababu ni watu ambao nimesoma nao mimi nilikuwa electrical general (kozi mama) natulikuwa tunasoma kozi sawa hasa mwaka wa pili kwanini wa disco hivyo?

but all in all I LOVE ELECTRICAL ENGINEERING ESPECIALLY POWER SYSTEM ENGINEERING WHERE AM CURRENTLY PRACTISE MY ENGINEERING NEVER IN EARTH KAMA KITU KUKAA BENCHI KWA HII KOZI BELIEVE ME WATAKUWEKA KITAA KWA MUDA TU ...

SO GUYS BE SERIOUS SOMENI TENA JITAHIDINI KUELEWA ACHANENI NA MADESA HILI TUJE TUOKOE HII NCHI HASA HILI JANGA LA MGAO WA UMEME UKIPITA SECOND COET NI HAKI YA KUKUITA MHANDISI

Nawasilisha....
 
watoto wa siku hizi starehe nyingi.Mi niko hapa tangu FOE hadi leo, naona tofauti kubwa sana iliyopo kati ya wanafunzi wa FOE na COET.Siku hizi yaani wanafunzi wanakula raha kama mangwini.

enzi zenu nani alikuwa rais? fb ilikuwepo? tigo je? enzi ya dot com prof wangu. technology inatakiwa kutuupgrade.
 
Usharobaro unawaua hao vijana wa EPE, wanataka vitu vyote kwa wakati mmoja wapi na wapi? Mtu unaingia kumfundisha Fundamental of Electrical Engineering, hajui complex number (Form -3, 5 & 6) utamsaidiaje? Na hata ukitaka kumsaidia inabidi uanze kumfundisha kuanzia ya form 2 hadi form 6 which is crazy.

Tatizo siyo walimu wa COET ni vijana wenyewe na mashule wanayotoka huko form 6. Mwanafunzi anapoingia chuo, chuo kinategemea awe amejiandaa kusoma masomo ya elimu ya juu ikiwemo kujua namna ya kujisomea, kupata references kwa ujumla namna ya kupata elimu ya juu.
Badala yake vijana wako busy na mambo mengine kabisa. Hawagusi library (Mtu yuko chuo miaka karibu 3 hajui kusearch vitabu library karne ya 21?), hawaingii vipindi(mtu anakuwa na vipaumbele vingine kabisa wakati yuko shule,what for then?), wakiingia hawaulizi wala kuchallenge chochote(enzi zetu mwalimu akiingia hajajiandaa tunamuumbua na next time atakuja kushusha nondo za ukweli, lakini hawa wa siku hizi bora liende) which means vijana wana tatizo tokea either Form 1 - 4 au F 5- 6.

Nchi yetu ina matatizo ambayo ni general, lakini kwangu mimi matatizo ndo huwafanya watu wafikirie namna ya kupata solutions, badala yake siku hizi kuanzia serikali hadi wananchi wake ni "Bora liende". Kuna kitu tunakikosa, ubunifu wa kutatua matatizo tuliyonayo kwenye jamii zetu.
 
Acha kulalamika kijana. Wengi tumepitia hapo. Punguza madesa pia. Tatizo lenu vijana mmesahau ile triangle rule; hostel-class- cafeteria. Sasa ninyi badala ya kusoma mnashindana kwenda kujirusha mango garden and the like mpaka boom la mkopo liishe. Lazima mdisco. Tunataka wahandisi wenye creative thinking. Komaa ......
 
mbona hapa coet ni kawaida kwa wadada kuonewa huruma,GPA zao zilikua ziko chini ya 1.8 ambayo kwa kawaida mtu unakua umedisco,so wao huwa wanabustiwa.

Kwa hiyo dogo siku hizi cut-off GPA ni 1.8 na siyo 2.0? Kweli kuna tofauti kubwa sana kati ya FOE na COET.Wakati ule nipo hapo 1.8 nilikuwa nasikia ni ya watu wa kule juu a.k.a mangwini
 
Usharobaro unawaua hao vijana wa EPE, wanataka vitu vyote kwa wakati mmoja wapi na wapi? Mtu unaingia kumfundisha Fundamental of Electrical Engineering, hajui complex number (Form -3, 5 & 6) utamsaidiaje? Na hata ukitaka kumsaidia inabidi uanze kumfundisha kuanzia ya form 2 hadi form 6 which is crazy.

Tatizo siyo walimu wa COET ni vijana wenyewe na mashule wanayotoka huko form 6. Mwanafunzi anapoingia chuo, chuo kinategemea awe amejiandaa kusoma masomo ya elimu ya juu ikiwemo kujua namna ya kujisomea, kupata references kwa ujumla namna ya kupata elimu ya juu.
Badala yake vijana wako busy na mambo mengine kabisa. Hawagusi library (Mtu yuko chuo miaka karibu 3 hajui kusearch vitabu library karne ya 21?), hawaingii vipindi(mtu anakuwa na vipaumbele vingine kabisa wakati yuko shule,what for then?), wakiingia hawaulizi wala kuchallenge chochote(enzi zetu mwalimu akiingia hajajiandaa tunamuumbua na next time atakuja kushusha nondo za ukweli, lakini hawa wa siku hizi bora liende) which means vijana wana tatizo tokea either Form 1 - 4 au F 5- 6.

Nchi yetu ina matatizo ambayo ni general, lakini kwangu mimi matatizo ndo huwafanya watu wafikirie namna ya kupata solutions, badala yake siku hizi kuanzia serikali hadi wananchi wake ni "Bora liende". Kuna kitu tunakikosa, ubunifu wa kutatua matatizo tuliyonayo kwenye jamii zetu.
mkuu nakukubalia kwa 100% hasa ilo lakutochallange malecture,,,tym zote raia wanawaza kudesa angonge pga zake asepe...i thnk kuna sehemu 2mekosea tokea chini
 
nyie endeleeni kutoboa tu ila mkija huku kitaa ndio mtakapo ona kweli jua kali maana kuna kitu kinaitwa bench kinasubiri masaburi yenu hayo....JIANDAENI NA UNEMPLOYMENT.
Electrical engineer hawana msamiati wa 'UNEMPLOYMENT' ,swala ni maslahi mazuri au lah !
 
I. electrical power wanachukuliwa na cut off point ndogo hivyo wanashindwa kuresist load kwa mtazamo wangu (hii ni experience ya mwaka nilikuwa na soma na walio nitangulia mwaka wetu walikuwa 20 wakabaki 11 , mwaka waliotutangulia walibaki 15, mwaka tuliowaacha walibaki 7)
Black and white , huo ndo ukweli ingawaje wenzetu hawataki kuhusikia ,
Zamani vichwa vingi vilikua vinaenda Civil na Electrical ,lakini si hivyo tena ,
Kuimarika kwa TE , Electronics, CIT na Comp Science kumeondoa watu huko ,
Mbona hayo hayo ma DP TE na CIT wanapita with flying coluors ?
 
Huo special upendeleo umeanza kutolewa lini kwa mtu aliyedisco coet, na unatolewa kwa vigezo gani?

Women empowerment I guess, si mnataka haki sawa and frankly speaking, you can't get that on your own. So there is where Newton's First law of motion has to be applied. "Ni mtazamo wangu tu aseeee"
 
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.

Pole sana mkuu kwa kudisco CoET
 
HAKUNA CHA BURE JAMAN jitiada kwanza< walo weza wamewezaje. sio coet tuuuuuu hata SOED nA cass ni majangaaaaaaaa tuuuuuuuuu
 
Ukiona game taiti achana na kitabu ukafungue tution center.

mkuu perry UMEHAMIA COLLEGE AU?WE SI UPO ECONOMICS AU?AU NDIYO UMEWAWAKILISHA HAO COET?

  • A%20S%202152.gif

 
Back
Top Bottom