Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
majibu ya mitihani yote yapo kwenye vitabu! Ukitaka kupiga gpa za ukiwa funga ndoa na maktabaKijana soma ...ukiona masomo yanakushinda basi ujue IQ yako ndo ishakua ndogo....
CC Prof Mwinyiwiwa
kwan ww ulisoma mwka ganimimi nimesoma coet ila hiyo kitu sijawahi kushuhudia. Poleni, kazaneni tu hiyo shule si mchezo.
ha ha ha pof mwinyiwiwa mzee wa C++ daahhh jamaa alitutesa yule sina hamu naeKijana soma ...ukiona masomo yanakushinda basi ujue IQ yako ndo ishakua ndogo....
CC Prof Mwinyiwiwa
uyo rubaratuka ndo kiboko haiseeeMkuu mwambie dogo uhandisi sio lele mama someni sio complain tu!siku hizi nasikia mnacarry nafuu ukubwa!enzi hizo foe ngoma tatu hamna mjadara!alikuwepo segu,ishengoma,mayo,owen na rubaratuka na mmoja wa mchoro. Yaani utatokea wapi!siku hizi poa sana
COET kuna ma lecturer wakuda sana yani ndo wanaofanya elimu kuwa ngumuTulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
usibishe pale coet ni noma,wasipofanya hvyo Electrical au electromechanical wasichana wote kushney,Coet hzo ndio moja ya kozi ngumu pmj na civil.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
Mkuu unasoma bachelor of economics au engineering? au ulidisco coet?
Black and white , huo ndo ukweli ingawaje wenzetu hawataki kuhusikia ,
Zamani vichwa vingi vilikua vinaenda Civil na Electrical ,lakini si hivyo tena ,
Kuimarika kwa TE , Electronics, CIT na Comp Science kumeondoa watu huko ,
Mbona hayo hayo ma DP TE na CIT wanapita with flying coluors ?
mfumo wa elimu ya coet kwa kweli unakaubabe fulani ila kuna jambo moja nataka nimwambie electrical engineer ni course ngumu sana tena kwa stucture ya hapo mlimani ndio usiseme maana mnasoma course kumi na saba kwa mwaka hasa huo wa pili ambao ndio chujio kwa course nyingi hasa COET watu wanadisco si mchezo
electrical power nimesoma nao ila kuna vitu vifuatavyo kimtazamo ambao nina uzoefu naona
I. electrical power wanachukuliwa na cut off point ndogo hivyo wanashindwa kuresist load kwa mtazamo wangu (hii ni experience ya mwaka nilikuwa na soma na walio nitangulia mwaka wetu walikuwa 20 wakabaki 11 , mwaka waliotutangulia walibaki 15, mwaka tuliowaacha walibaki 7)
ii. kozi nyingi zinazotoka department tofauti mara ME, TE, MT,DP(ambazo ni ndio course mama ziko chache so unakuta concentration inakuwa ndogo) hili ni tatizo kubwa...
iii. ushirikano kati yenu (hili ni tatizo na tatbia ya kujifanya mnajua baadala ya kusoma kwa pamoja kusaidiana hii sio A- LEVEL kutambiana lazima watakula kichwa tu)
iV. inferior kwa course kama TE na CIT...
v. ubabe wa malecturer hapo coet unajulikana na hadithi zao na mshukuru kuna watu kama dr mvungi,ishengoma hawapo siajabu course nzima mngedisco maana duuh...
kuna haja yakuangalia upya hiyo course ya elecrical power na jinsi wanavyo enroll watu nasema hivi kwa sababu ni watu ambao nimesoma nao mimi nilikuwa electrical general (kozi mama) natulikuwa tunasoma kozi sawa hasa mwaka wa pili kwanini wa disco hivyo?
but all in all I LOVE ELECTRICAL ENGINEERING ESPECIALLY POWER SYSTEM ENGINEERING WHERE AM CURRENTLY PRACTISE MY ENGINEERING NEVER IN EARTH KAMA KITU KUKAA BENCHI KWA HII KOZI BELIEVE ME WATAKUWEKA KITAA KWA MUDA TU ...SO GUYS BE SERIOUS SOMENI TENA JITAHIDINI KUELEWA ACHANENI NA MADESA HILI TUJE TUOKOE HII NCHI HASA HILI JANGA LA MGAO WA UMEME UKIPITA SECOND COET NI HAKI YA KUKUITA MHANDISI
nawasilisha....