MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,252
- 22,769
Tatizo la bush ni uchache wa wateja. Pia ikifika msimu wa kilimo huko bush ni njaa tupuK
Kufanya biashara mjini shida ndio maana mm ufanya biashara zangu bushi ujenga town ata kodi sitozwi kama utitiri uwo. In short kodi Tanzania zipo town tu.
Kufanya biashara bush ni kujidumaza kiakili. Vijiji vya kiafrika vina umaskini wa kutisha na kawaida misery loves company. Mwisho wa siku unadumaa hata kiakiliKodi zipo Kila mahali Mkuu, hata huko Vijijini Kodi zipo
Hujawahi kutembelewa na Watu wa Halmashauri wakaanza kudai Kodi kwenye hizo biashara zako.
Kama hujatembelewa itakuwa bahati yako, ila binafsi nimetembelewa hadi na watu wa Fire kudai Kodi
Ni utasema ukitokea ajali ya moto wanaweza kuja hata kusaidia kuzima maana hata Vifaa vya Kuzimia hapo Wilayani hawana ila Kodi wanachukua
Mkuu hili jukwaa la biashara sio jukwaa la lugha, kuna wadau wanakosea vitu vidogo vidogo kwenye kuandika ila huwa wanaleta madini safi sana humu,Uwo = huo, aupendwi = haupendwi. Kawaida watu wenye elimu duni huwa wana mawazo potofu
NyamazaK
Kufanya biashara mjini shida ndio maana mm ufanya biashara zangu bushi ujenga town ata kodi sitozwi kama utitiri uwo. In short kodi Tanzania zipo town tu.
Pia Mzunguko wa hela kule ni mdogo tofauti na huku town.Kufanya biashara bush ni kujidumaza kiakili. Vijiji vya kiafrika vina umaskini wa kutisha na kawaida misery loves company. Mwisho wa siku unadumaa hata kiakili
Nikweli dar kuna mzunguko mkubwa sana mm uku utumia nafasi ya mda wa masika hulima ufuta na maindi na mwezi wa watisa mpaka wakumi kuokota korosho uku nikifanya biashara zangu kuisha mwaka milioni 30 na zaidi kawaida sana ndio maana siami bush. Town najenga tu kwanza.Pia Mzunguko wa hela kule ni mdogo tofauti na huku town.
Imagine DSM hapa fedha inayozunguka Kwa Siku ni zaidi ya 35B Kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya Mwaka 2017 so hopefully kwasasa Mzunguko unaweza kufikia 200B na zaidi
Hii nchi kujitetea ni ngumu sana mkuu, wenye mamlaka wana authority kubwa sana.Kwa hayo mahesabu unakubalije kuwalipa tra 250000. Tra unawalipa kutokana na biashara ilivyo. Mambo ya msiba usiyaingize kwenye biashara.
Mzunguko wa dar usikutishe ata uwambiwe 5000B chamsingi angalia mzunguko wako sio mzunguko wa BOT usikute ata wao wafanya kazi wa BOT awafanyi biashara yyt na mzunguko wote uwo.Pia Mzunguko wa hela kule ni mdogo tofauti na huku town.
Imagine DSM hapa fedha inayozunguka Kwa Siku ni zaidi ya 35B Kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya Mwaka 2017 so hopefully kwasasa Mzunguko unaweza kufikia 200B na zaidi
Umenikumbusha miezi ya September hadi December mikoa ya Kusini huwa wanakuwa na hela nyingi za Korosho.Nikweli dar kuna mzunguko mkubwa sana mm uku utumia nafasi ya mda wa masika hulima ufuta na maindi na mwezi wa watisa mpaka wakumi kuokota korosho uku nikifanya biashara zangu kuisha mwaka milioni 30 na zaidi kawaida sana ndio maana siami bush. Town najenga tu kwanza.
Kawaida makadirio ya tra unajikadiria mwenyewe Ila Kama unaweka kumbukumbu Kama zako hawawezi kukulazisha ulipe hicho wanachotaka, huwezi.kulipa Kodi zaidi ya unachopata.Hii nchi kujitetea ni ngumu sana mkuu, wenye mamlaka wana authority kubwa sana.
Huko Tra labda ukutane na mtumishi muadilifu ama mtu mnaejuana, vinginevyo tegemea lolote
Umesema sahihi MkuuMzunguko wa dar usikutishe ata uwambiwe 5000B chamsingi angalia mzunguko wako sio mzunguko wa BOT usikute ata wao wafanya kazi wa BOT awafanyi biashara yyt na mzunguko wote uwo.
Umeona na za ufuta Lindi apo zinamwagika mda sio mrefu endeleendi kukokomaa na mzunguko wa BOT dar.Umenikumbusha miezi ya September hadi December mikoa ya Kusini huwa wanakuwa na hela nyingi za Korosho.
Mwaka huu nataka niwapelekee biashara huko ili nizikusanye hela zao baada ya mavuno
Lakini pia na wafanyabiashara wamejaa sana mkuu, inabidi uwe creative saidiPia Mzunguko wa hela kule ni mdogo tofauti na huku town.
Imagine DSM hapa fedha inayozunguka Kwa Siku ni zaidi ya 35B Kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya Mwaka 2017 so hopefully kwasasa Mzunguko unaweza kufikia 200B na zaidi
Absolutely SirLakini pia na wafanyabiashara wamejaa sana mkuu, inabidi uwe creative saidi
Mzunguko wa pesa kuwa mkubwa ni sawa na sufuria kubwa la pilau, wapo wanaochota sinia, wapo wanaochota sahani, wapo wanaochota vibakuli, wapo wanaochota visosi, mpaka wanaoambulia kijiko,,,, Kwa dar hadi uwe level za kuchota walau kibakuli inabidi uwe very creative
Ningekukuwa ningeuza baiskeli za mtumba labda kwa mtazamo wangu mm ingenifaa sana.Lakini pia na wafanyabiashara wamejaa sana mkuu, inabidi uwe creative saidi
Mzunguko wa pesa kuwa mkubwa ni sawa na sufuria kubwa la pilau, wapo wanaochota sinia, wapo wanaochota sahani, wapo wanaochota vibakuli, wapo wanaochota visosi, mpaka wanaoambulia kijiko,,,, Kwa dar hadi uwe level za kuchota walau kibakuli inabidi uwe very creative
Kusini KucheleUmeona na za ufuta Lindi apo zinamwagika mda sio mrefu endeleendi kukokomaa na mzunguko wa BOT dar.
Absolutely Sir
Ni vyema kabla hujaingia sokoni ufanye tathmini ya kina vinginevyo unaweza Kuta unaenda kupoteza Mtaji wako
Ukiwa mikoani ni ngumu kuchota sinia ama sahani lakini kama uhakika wa kuchota kibakuli upo bila ushindani mkali kama wa dsm, ni heri ujitafutie mkoani.Ningekukuwa ningeuza baiskeli za mtumba labda kwa mtazamo wangu mm ingenifaa sana.
Mkuu labda Wana kubana wewe tu, Kuna kipengele Cha majaribio kwa miezi 6..
Mbaya zaidi wanataka hiyo Kodi wakati mfanyabiashara haujaanza kuzalisha hata shilingi 50 ya Faida
It's unfair 😭