Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Huwezi shindana Na uumbaji wa mungu.tufaidi uumbaji wa mungu.halafu sijasex muda kasie .Nina 2 yrs just imagine.yaani siku nikipata mtu naweza kumla


Hahahahhaahahahhaaa Miss, sasa kwanini unajitesa. .... 2 years....!!

Umenikumbusha wimbo watoto wa shule walikuwa wanaimba. Siuzi mimi wala sitoi buree, unaibana bana italiwa na nyenyeree hehehehehee sijui kama uliwahi kuusikia.

Usiibane bane Miss, italiwa na nyenyeree.
 
Wadada acheni kavu 2mieni 'pleasure me'...mbona dem wangu hua anasema ka anapga kavu vile kumbe ni ndomu..
Ukimwi upo ati
 
Na balaa lake ni Kwamba katika kile kipindi cha mwanzo cha infection hasa mwezi mmoja from exposure Muhusika anaambukiza Mara 12 zaidi ya Kawaida, Ukitaka Nusura Kila mwanamke Muone Muathirika.. Trust No One Piga na Condom tu, Hutojutia!
Kupiga na condom mpenz wako kwa siku ya kwanza au ya pili its possible but as days go on utakula kavu tu......labda uwe unakula malaya
 
1538686087783.png
 
Back
Top Bottom