Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
NN hayupo?Njoo tulale basi
NN hayupo?Njoo tulale basi
Kuna ukweli fulani Hapa, kupata Ukimwi nako kazi sana, sijambo rahisi.. Nimegundua wengi wanaopata Ukimwi ni wale wasiojua intertaiment sexKwanza hakunaga ukimwi bna.watu tumedanga tunajaza treni mbili hatujapata hata uti.aaah mi nakitombesha tu kavu kavu
Huwezi shindana Na uumbaji wa mungu.tufaidi uumbaji wa mungu.halafu sijasex muda kasie .Nina 2 yrs just imagine.yaani siku nikipata mtu naweza kumlaIn that way, I can say we are partners in crazy love crime scens.....
Acha mapenzi yaendeshe dunia, asiyeelewa na asielewe ila, kutiana kavu kavu kutamu na ndo mpango mzima.
Mimi bado bikra wa kiumeWewe unatumiaga condom?
Bikra ya wapi?Mimi bado bikra wa kiume
Dushe langu halijawahi kuingia katika kikojoleo cha mwanamke au katika 0713 ya jinsi ya kike au kiumeBikra ya wapi?
Kupima ngoma ni elfu 20 tu private.zingine bure.mi hunilali bila kukupima bna.condom ni dhambi.zinawasha zile .zina upupuUnawadanganya wenzako
Lina kazi gani sasa hapa mjini?Dushe langu halijawahi kuingia katika kikojoleo cha mwanamke au katika 0713 ya jinsi ya kike au kiume
Linasubiri uzae mtoto wa kike akue jack wanguLina kazi gani sasa hapa mjini?
Kasie una mipango mizuri, ila hauoni upo katika risk? mtapima one Month kabla je hapo katikati akisex na postive?.. tuachane na Hilo kuna Criteria kwamba hiyo one month mtakapopima mwenzako anaweza kuwa yupo katika window period ambayo sometimes hulast mpaka miezi 6.. Tumieni Condom!
Fala wewe tena ushindweLinasubiri uzae mtoto wa kike akue jack wangu
Hiyo mashine iko hospitali kubwa ni kipimo advanced sana. siyo huto twa kupima kama malaria.PCR ndo ipi??? Maana alienda hospital ya kawaida tu.
Mbona wanaume inatutokea sana, Mi nilikutana Manzi mmoja, wakati tunaongea Katika simu akaniambia, yeye atumii mpira, nikamwambia basi isije, na akuja kweliSidhani eti Binti alikataa mi cjawahi kuona Binti alikataa jamani wanaume ndo hampendagi hyo kitu alimia 99% tena eti mtu kaja geto umuache eeeh never seen before
Nakupenda bure kwa maushauri yako
Sijaelewa Hoja yako na Ulichonukuu toka kwenye comment yangu!Speaking of experience and nature life...... forget about facts on papers and books.
Ile uhalisia wa maisha, kama ingekuwa kila mechi kavu zikipigwa picha ainakaa angani angalingejaa mapicha picha.
Sijisifii wala sikumbatii ujinga wala sisemi watu wanifate kufanya na kutiana kavu kavu laah hasha. Nimesema ukweli wa Mungu ulionitokea.... Na huwa inanitokea na napenda kutiana kavu kavu ila wakati huo huo napenda maisha hivyo niko makini sana na afya yangu..... Wakati angaza wa naanza kuhamasisha watu kupima HIV walikuwa wanatoa muda wa maambukizi ni miezi 3 na hata ukipima leo ukakutwa uko salama basi unaambiwa urudi baada ya miezi 3 kuhakiki kama uko salama. Ila kwa kipindi hicho usishiriki ngono zembe.
Shauri na nasaha za angaza bado ninazo kichwani hadi leo japo ndomu siipendi.
Kasie Matata.
Na nilegee!Fala wewe tena ushindwe
Hahaaa...usijali hutapoteza miye tenaaNjoo PM ila nikipoteza kibarua changu itabidi unitafutie kibarua kwa wahindi