BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,532
- 11,028
Sitanii kasie, iko wazi lakn?Hhehehehehee kila la kheriii.
Sitanii kasie, iko wazi lakn?Hhehehehehee kila la kheriii.
Nakupenda bure kwa maushauri yakoHuyo hajipendii...
Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.
Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.
Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.
Kavu nakula ila kwa akili.
Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.
Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.
Kasie Mahaba.
Its true babe,Kabisa wanaume ndo huwa hawapendi hyo kitu akija JF anawaponda wanawake I'm sure hata mleta mada hapendi kondomu ila vile unafiki ni jadi yetu basi atajifanya yeye hutumia
Kabisa wanaume ndo huwa hawapendi hyo kitu akija JF anawaponda wanawake I'm sure hata mleta mada hapendi kondomu ila vile unafiki ni jadi yetu basi atajifanya yeye hutumia
Hakuna kudra haiwezekani utembee peku peku usichomwe na mwiba au msumari tusijidanganye tahadhari ni muhimu mnoMKUU HILI JANGA KAMA UMEPANGIWA LITAKUPATA TU MENGINE NI KUDRA ZA MWENYEZI MUNGU
Umeona eeeh jukumu lakujijali ni la wote kujikinga kwa bidii, hata hvo kuna watu hawatumii na hawajawahi kupata hyo kitu huwa nashangaa mno, hyo hali inakuwaje kikubwa kukwepa michubuko isiyo na lazima nakuoima afya basiIts true babe,
Tena mwanaume anayejali anatakiwa awe na condoms nyumbani kwake( durex kama mimi nnazozipenda) size kubwa lakini.
Au kama msichana hataki condoms basi mnaweza kwenda kupima.
Nakumbuk nilichukuaga msichana mmoja wa tigo pesa alinitongoza mchana kweupe.
Akaniambia hapendi condoms nikakataa kusex.
Kesho yake akarudi akaliwa na condoms.
Imagine nisingekaza ingekuwaje?
Mwanaume sometimes anatakiwa awe leader.
MwinginE Dr wa Muhimbili nilimvua bikini nikakalegeza ile naweka kichwa nikajishtukia nikachukua durex yangu.
Dr akagoma kabisa kusex.
Basi gemu likishia hapo.
Sidhani eti Binti alikataa mi cjawahi kuona Binti alikataa jamani wanaume ndo hampendagi hyo kitu alimia 99% tena eti mtu kaja geto umuache eeeh never seen beforeKuna siku nilikutana na binti flani hivi nikanumua rough rider zangu nikatulia,amekuja geto wakati wa mambo namuambia kuhusu kinga akakataa,nami nikakaza bila kinga sipigi mzigo ...sikufichi siku hiyo hatukufanya... mpaka tulivyoenda kupima.
Sidhani eti Binti alikataa mi cjawahi kuona Binti alikataa jamani wanaume ndo hampendagi hyo kitu alimia 99% tena eti mtu kaja geto umuache eeeh never seen before
Aisee una expeience ndogo saana kuhusu haya mambo, when it comes to sex wanaume tuko vizuri sana kuzingatia matumizi ya Condom, wanawake pekee wanaozingatia matumizi ya condom ni makahaba!Sidhani eti Binti alikataa mi cjawahi kuona Binti alikataa jamani wanaume ndo hampendagi hyo kitu alimia 99% tena eti mtu kaja geto umuache eeeh never seen before
Usitusingizie bwana hamna asiyeoenda kavu.Ukweli ni kwamba wanawake siku hizi ndio hamzipendi
Kila mtu anapenda lakini umakini unahitajika sana.Usitusingizie bwana hamna asiyeoenda kavu.
Mi nasemea my own experience na watu ninao wajua most of men hawatakagi kabisa hyo kitu tena ni mabingwa wa kuficha kabisa, bora kuwa na mtu mwaminifu basiAisee una expeience ndogo saana kuhusu haya mambo, when it comes to sex wanaume tuko vizuri sana kuzingatia matumizi ya Condom, wanawake pekee wanaozingatia matumizi ya condom ni makahaba!
Aisee una expeience ndogo saana kuhusu haya mambo, when it comes to sex wanaume tuko vizuri sana kuzingatia matumizi ya Condom, wanawake pekee wanaozingatia matumizi ya condom ni makahaba!
Umakini ni muhimu ila kusema k hawapendi ni uongo aiseeKila mtu anapenda lakini umakini unahitajika sana.
Mtu ambaye anaunderate Condom hajawahi pata hata Gono, Miaka ya 90's Karibia Niukwaee toka kustuka Pale kuwa Binti alikuwa amewaka Mpaka leo Nina miaka mingi sana sijui kavu.. Ngoja Alert iwapate!Mi nasemea my own experience na watu ninao wajua most of men hawatakagi kabisa hyo kitu tena ni mabingwa wa kuficha kabisa, bora kuwa na mtu mwaminifu basi
Kwahyo una force kusingizia wanawake kwahyo huwa tunajifanya wenyewe pekuMwambie Mkuu,anaona kama mimi namuongopea.