Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

"Yaani unagharamia demi chini ya laki unalalamika?" watu mnaocomment namna hii huwa mnakua masikini sana sasa mnajaribu kujifanya mko juu, u cant bring me down!!!

Kweli niko juu "Laki si pesa" ya kulialia. Nilisema kama unataka cheap wapo kawatafute.Mchichana wa maana na heshima zake laki ni uchafu. Dada zetu wana thamani kuliko hizo hela mnazolalamika kuwapa. Ngoja na binti yako akue ndipo utajua maana ya ninanchokisema!!!! Take it easy.
 
Uko desperate ww, yamkini umri wako umeenda sana na unaona hakuna hata anayeelekea kukuoa! sasa kama mm mshamba kwani ulilazimishwa ucomment we -----? ila sishangai sana kumbe ww ni "miss wa kinyaru", hlf sio kinyaru ni kinyalu malaya kibiskuti ww! ha ha ha

Unamtukana member matusi ya kuli? Ngoja mods muda mfupi watakupatia dawa yako.
 
MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?

Usitumiee peeesa, kama fimbo baba
Mambo ya pesa hutaka makubaliano
Hapo ndipo pesa huwa na thamani eee

Sijui kama unaujua huu wimbo, lakini unakuhusu sana tu.
 
Usitumiee peeesa, kama fimbo baba
Mambo ya pesa hutaka makubaliano
Hapo ndipo pesa huwa na thamani eee

Sijui kama unaujua huu wimbo, lakini unakuhusu sana tu.

Nakushukuru Kiranga ...... Like x1000000
 
Last edited by a moderator:
Usitumiee peeesa, kama fimbo baba
Mambo ya pesa hutaka makubaliano
Hapo ndipo pesa huwa na thamani eee

Sijui kama unaujua huu wimbo, lakini unakuhusu sana tu.

Nimekusoma! thumbs up!
 


MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?
 
Last edited by a moderator:
Kitu kipya hiki ndo kimenikubalia juzi tu baada ya kuteseka kwa takribani miezi 4

Miezi 4??? Aisee ni ngumu sana kumtongoza mwanamke mda wote huo, hivi unakuwa unamwambiaje siku zote hizo?

Mtizamo wangu; huyo mwanamke hakupendi anajaribu kujilazimisha tu kwa sababu una manjonjo mengi lakini wapi, kashindwa (Hamna feelings hapo). Hata akikupa piga shoo ya maana lakini usiweke kambi atakuumiza baadae hivo vi hela vikikauka.
 
MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?
Hahaha mtwangio ukazimika....?
ungeuliza kabla bhana yaani mpaka chumba ushalipia ....!
 
Back
Top Bottom