Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

Hivi huu ni umaskini unasumbua au nini? maana sielewi mtu mzima na akili yake analalamika kisa 77,000/=, kwani ungemuacha akajitoa mwenyewe out mbona angetumia zaidi ya hiyo hela, kwanza alikuhurumia vinywaji 12,000/= Dinner 20,000/= na gest 25,000, hapo mlikuwa wawili mlikunywa nini soda mkala chips mayai, gest za uchochoroni, mafuta si uliweka kwenye gari yako nayo unahesabu. Kama kweli huyo dada ni mzuri kama unavyosema basi hajitambui. na kama anajitambua hutamuona tena, kwani amegundua wewe ni gumegume hata hiyo sababu aliitoa tu ili aachane na wewe na hutakaa umugegede. Ila pole maana hapo ndo ulijitahidi kutumia pesa nyingi ambayo hujawahi kuitumia kulingana na uwezo wako
 
Yaani unagharamia demi chini ya laki unalalamika? Ha ha ha!! Kizuri kina gharama!!! Kama unataka wa uwanja wa fisi wanapatikana kwa buku 1, 2. hadi 5. Dinner 20,000/= !!!!!!!! Ya watu wawili au mmoja? Dah kweli tuna upeo tofauti wa mambo!!! Ila ni vema ukatafuta wa kiwango chako ili usije kulalamika maana wenzio wanatumia hata kilo 3 bila kulalamika. Ila pia kama alikuwa ni girlfriend wa kudumu ina maana hata utaratibu wa siku zake unakuwa na taarifa nazo, na pia ina maana huwa hampangi kufanya hayo mambo au ni kushtukiza tu? Ungekuwa umemwandaa tangu awaali angekupa status yake!!! Hizo mobile na ipad si ndo kazi yake siku hizi? Yale mambo ya papo kwa papo yamepitwa na wakati!!! Pole kwa kukosa hiyo kitu mkuu ila siku nyingine jadilini kwanza ili usipate tena shinda iliyokupata kwa kuambiwa "niko kwenye siku zangu".
 
[h=5]MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?[/h]
na kushangaa sana ndugu yangu kuwa umeshindwa kujua huwezi kupewa mzigo usio uweza. ukiona ana kuomba haya yote lazima kakupima na kaona unawexza na atajuaje kama huwezi kama una nyamaza? muda mwingine tuna lalamika bure kumbe chanzo ni sisi. uneingia kwa gear ya pesa ukiombwa pesa una lamika pembeni. Mapenzi ni yako chaguo ni lako.
 
Pole sana ila NINGEKUWA MM???,,,,,,,HATA IVO MI MGUMU WA KUTOA KI2 PESA AKIJITAHD SANA ATAONDOKA NA BUKU MBILI ALAFU SIRUDII TENA ......KA KAWA JOKA KIBISA HALIUMI MARA MBILI!!!!!!!!!!
 
Yaani unagharamia demi chini ya laki unalalamika? Ha ha ha!! Kizuri kina gharama!!! Kama unataka wa uwanja wa fisi wanapatikana kwa buku 1, 2. hadi 5. Dinner 20,000/= !!!!!!!! Ya watu wawili au mmoja? Dah kweli tuna upeo tofauti wa mambo!!! Ila ni vema ukatafuta wa kiwango chako ili usije kulalamika maana wenzio wanatumia hata kilo 3 bila kulalamika. Ila pia kama alikuwa ni girlfriend wa kudumu ina maana hata utaratibu wa siku zake unakuwa na taarifa nazo, na pia ina maana huwa hampangi kufanya hayo mambo au ni kushtukiza tu? Ungekuwa umemwandaa tangu awaali angekupa status yake!!! Hizo mobile na ipad si ndo kazi yake siku hizi? Yale mambo ya papo kwa papo yamepitwa na wakati!!! Pole kwa kukosa hiyo kitu mkuu ila siku nyingine jadilini kwanza ili usipate tena shinda iliyokupata kwa kuambiwa "niko kwenye siku zangu".

"Yaani unagharamia demi chini ya laki unalalamika?" watu mnaocomment namna hii huwa mnakua masikini sana sasa mnajaribu kujifanya mko juu, u cant bring me down!!!
 
Pole sana ila NINGEKUWA MM???,,,,,,,HATA IVO MI MGUMU WA KUTOA KI2 PESA AKIJITAHD SANA ATAONDOKA NA BUKU MBILI ALAFU SIRUDII TENA ......KA KAWA JOKA KIBISA HALIUMI MARA MBILI!!!!!!!!!!

Hahahahahah
 
na kushangaa sana ndugu yangu kuwa umeshindwa kujua huwezi kupewa mzigo usio uweza. ukiona ana kuomba haya yote lazima kakupima na kaona unawexza na atajuaje kama huwezi kama una nyamaza? muda mwingine tuna lalamika bure kumbe chanzo ni sisi. uneingia kwa gear ya pesa ukiombwa pesa una lamika pembeni. Mapenzi ni yako chaguo ni lako.

Unanishangaa badala ya kunionea huruma na kunishauri,,,
 
hakuna cha ukali wowote. wewe umeathirika kisaikolojia tu. its simply psychological presssure! HONGERA KWA KUTUMIA HELA KAKA, COZ ULIBAJETI, NA NAJUA UNGEMPA 50,000 BAADA YA GAME! Shit!

Hahaha! Guys, dnt HaTe pls,,,nipeni pole tu kiroho safi!
 
huyo namlia timing, next time namnywea supu ya pweza, ugali wadona kilo 3 na mzizi wa mkuyati. napiga kuanzia saa 7 mchana hadi kesho yake asubuhi non stop
 
[h=5]MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?[/h]

Pole sana kijana ulikuta na msimbazi?
 
Back
Top Bottom