Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

next time ndo umuambie mwenzio aelewe kama anaenda kutafunwa.. wanahitaji kujiandaa kwa pambano nao hao.. chupi mpya.. manukato nk..
 
MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?

.........pole, kwani ulikuwa unataka nini kinachokwamishwa na siku zake???
 
jamaa kila wiki huwa anakuja na post ya kuwakandya magashi wake, mdau!! wewe ukitanguliza pochi kutafuta papuchi usitegemee vinginevyo,na usilalamike...by the way, huyo demu ni cheap (pardon the expression), thats less than 100 grands na unalalamika?!!! if its not fair kwako ariff Amicus punguza kufungua zipu, fanya saving tafuta wa kudumu nae utagonga cheers vikojoleo whenever you want.
 
acha ushamba wewe, unaibiwa eti unaxema mkali!! hiyo ni fani tu, unawezakuta maudhui ovyo. kutembea kwako huyo ndo demu ulioona mzuri! na bado wazuri wanazidi kuongezeka, itabidi uwafungulie account yao.

Are u a "man" kweli? acha ush*g@, sio lzm kucomment, ungepita tu! kama mm mshamba inakuaje unacomment kwenye post ya mshaba? huogopi kuonekana uko sawa nae huyo mshamba?
 
MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?

Hapo alikuwa anamaanisha mtumie njia nyingine..Ile inayo anzia na 0712, kama ulimwachia atakuwa alikuona ----- sana.
 
jamaa kila wiki huwa anakuja na post ya kuwakandya magashi wake, mdau!! wewe ukitanguliza pochi kutafuta papuchi usitegemee vinginevyo,na usilalamike...by the way, huyo demu ni cheap (pardon the expression), thats less than 100 grands na unalalamika?!!! if its not fair kwako ariff Amicus punguza kufungua zipu, fanya saving tafuta wa kudumu nae utagonga cheers vikojoleo whenever you want.

Nimekusoma Kimolah
 
....chupi mpya....manukato nk ....hapa mm ni mgeni!!!![/QUOTE]

mgeni hujaelewa nini..?[/QUOTE]

ndio maana yake....nitoe matongotongo basi!!!, kwan chipi mpya inaninuhu nini, pale kati sio ndio mpango mzima au?
 
Back
Top Bottom