Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

Dada zangu hii sio FAIR kabisa...

Ha!......kama huna pesa kaa pembeni....waache wenye visu wale nyama......pesa yenyewe hata laki haifiki.....je akikwambia anataka na lace wig si ndio roho itaacha mwili......
 
Ha!......kama huna pesa kaa pembeni....waache wenye visu wale nyama......pesa yenyewe hata laki haifiki.....je akikwambia anataka na lace wig si ndio roho itaacha mwili......

....yaan atakufa si ndio?????
 
[h=5]MAFUTA YA GARI~20,000
VINYWAJI~12,000
DINNER~20,000
GUEST~25,000
Kisha anakuangalia usoni halafu anakwambia "Niko Kwenye Siku Zangu"

HII NI HAKI KWELI?[/h]

kwan ulimpa hyo ofa ili akuvulie,kama suala ni gharama,bdo hujagharamika at ol,mapenz gharama au hujui...hta lak haijafika!!kwanza ndo kakubal tu halafu unataka akuvulie,noo hyo haipo..labda kama ni cheap gal..me cjaona kosa lake at ol..kwanza mafuta ya gari?c gari yako au,cyo cost yake,na vinywaj na dinner c mmekula wte au?bdo hujafanya ktu bro
 
Ha!......kama huna pesa kaa pembeni....waache wenye visu wale nyama......pesa yenyewe hata laki haifiki.....je akikwambia anataka na lace wig si ndio roho itaacha mwili......

Preta! Preta! Preta!
 
daaah! pole but yaani ww unaonekana kama sum yako ni ndogo sana yani mikwanja yote hyo umeitoa kwa wakati mmoja aaah! ukijarib tena mwingine cutafilisika take care uskurupuke.......! swagga tu
 
daaah! pole but yaani ww unaonekana kama sum yako ni ndogo sana yani mikwanja yote hyo umeitoa kwa wakati mmoja aaah! ukijarib tena mwingine cutafilisika take care uskurupuke.......! swagga tu

Aisee nina sumu zaidi ya "anaconda" sema kuna time inabidi mkwanja nao utumike arifu
 
hakuna cha ukali wowote. wewe umeathirika kisaikolojia tu. its simply psychological presssure! HONGERA KWA KUTUMIA HELA KAKA, COZ ULIBAJETI, NA NAJUA UNGEMPA 50,000 BAADA YA GAME! Shit!
 
Back
Top Bottom