Dada yangu na boss wake

Teh teh atatuambia yeye ni spefic partner na wanafanya kwa maslahi ya pande zote mbili; kwa boss ambaye mkewe halipi sasa ana kitu roho inapenda na kwa dada ambaye shemegi hana mshiko hivo boss anasawazisha gap! Mtakufa mpaka mwishe na tamaa zenu! Hivi akijikuta kashajipaka upu[pu na kumpaka mtoto wa watu bwana shemeji atajisikiaje?

Naanzisha kampeni ya kuwanyonga watu wa aina hii!


na anaesimama mtaani pia ni kwa maslahi ya pande mbili......mwanamke anapata pesa mwanamme anapata pa kupozea kwa masaa kadhaa! ....
wanwake wakikuwa atawaambia nini? baba yenu hakuwa na pesa? kwani hapo alipokubali kuolewa nae hakujua? Ebus
 
Mwambie dadakoaendelee ru.....then unam-blackmail baadae.....atakuwa anakupa hela milele. Unakuwa kama sio mjasiriamali.
Mjini hapa! Mi hapo nshaona pesa wewe unaona nini? Biashara hiyo.....changamka.
 
huyu dada yangu? Yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha


are you crazy shit or what????????
Dada yako yuko njia panda???? Hafai hata kuwa kwenye hiyo ndoa. Anafahamu maana ya ndoa? Na kama anampenda mume na familia yake huko nje anatafuta nini???
Im sorry but i think ana element za uma***ya..... Huwezi kumpenda mumeo na ukamwachia mwanaume mwingine aukuchambue kama karanga..... Na hasira ya mungu isije waka juu yake kwa kuisaliti ndoa.... Hayo magari ni bullshit!!!!

Au gari ndio lamaana kuliko ndoa yake????? Vinakujaga na ukimwi hivyo au hajui??? Mwambie anatakapo lala na huyo mwanaume akapime. Believe me or not..... Gari haliji hivi hivi mtuwangu...
 
afrika hasa dhiki .......mtu gari ndo kaona dili amvulie bossi nguo! tena hapo gari yenyewe second hand choka mbaya, spana mkononi usikute! agggrrr
mantality za kutoridhika na ulichonacho hasa mbaya.
 
Mwambie dadakoaendelee ru.....then unam-blackmail baadae.....atakuwa anakupa hela milele. Unakuwa kama sio mjasiriamali.
Mjini hapa! Mi hapo nshaona pesa wewe unaona nini? Biashara hiyo.....changamka.
Tena unablackmail wote bosi na dada........ha ha ha Ujasiriamali muhimu mkuu!
 
Mwambie dadakoaendelee ru.....then unam-blackmail baadae.....atakuwa anakupa hela milele. Unakuwa kama sio mjasiriamali.
Mjini hapa! Mi hapo nshaona pesa wewe unaona nini? Biashara hiyo.....changamka.

tena achunguze kama na huyo boss kama ameoa....blackmail wote wawili

unatoka hivi hivi dogo!!! Bigirita mpe mbinu za kufanya huo mchezo mchafu wa kushiriki hiyo dhambi tafadhali!!!

siku y siku itawa-haunt yeye na dadaake
 
afrika hasa dhiki .......mtu gari ndo kaona dili amvulie bossi nguo! tena hapo gari yenyewe second hand choka mbaya, spana mkononi usikute! agggrrr
mantality za kutoridhika na ulichonacho hasa mbaya.

we umeona gari tu hivyo vingine hujavisoma?
 
Mwambie dadakoaendelee ru.....then unam-blackmail baadae.....atakuwa anakupa hela milele. Unakuwa kama sio mjasiriamali.
Mjini hapa! Mi hapo nshaona pesa wewe unaona nini? Biashara hiyo.....changamka.

Sikujua kuwa wewe pia ni kichwa kwenye intraprenuashipu!
 
kimey .....pesa ya mboga! ...hamna kitu .....dada kachemka vibaya. aache mara moja na atubie kwa mungu wake.
 
Nadhani, asikubali kabisaa, maana yawezekana ndiyo mwisho wa maisha yake na wala siyo ya ndoa tu. Kwani bosi amemwona yeye tu? Ameshawaona wengi na ukweli ni kwamba ameshawamega kihivyo hivyo. Cha muhimu ni kwamba dada yako atoe angalizo kwenye kituo cha polisi na kwa lawyer wake, incase huyo bosi atamfanyia ubaya wowote yeye au mume wake wapate pa kuanzia, lakini ni vizuri amwambie bosi wake kuwa kwa sasa hayupo tayari kumegwa naye. Time will always tell, she will uncover something fishy not in a long run!!!!!!
 
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari na amekabidhiwa ufunguo na kadi yake, dada yangu ameolewa na ana familia nzuri ya watoto 2 na mume wake anafanya kazi ya kwaida tu ya kuajiliwa ktk kampuni binafsi, ila kwa muda mfupi maisha yamependeza. wana JF nisaidie nimshauri vp? huyu dada yangu? yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha

anataka ushauri wakati keshachukua ka gari ka watu! hehehehe, mwambie dada yako keshalikoroga ,sasa alitie spices, alinywe tu.hapa wanasayansi wanasema ni " too late to advise"
 
are you crazy shit or what????????
Dada yako yuko njia panda???? Hafai hata kuwa kwenye hiyo ndoa. Anafahamu maana ya ndoa? Na kama anampenda mume na familia yake huko nje anatafuta nini???
Im sorry but i think ana element za uma***ya..... Huwezi kumpenda mumeo na ukamwachia mwanaume mwingine aukuchambue kama karanga..... Na hasira ya mungu isije waka juu yake kwa kuisaliti ndoa.... Hayo magari ni bullshit!!!!

Au gari ndio lamaana kuliko ndoa yake????? Vinakujaga na ukimwi hivyo au hajui??? Mwambie anatakapo lala na huyo mwanaume akapime. Believe me or not..... Gari haliji hivi hivi mtuwangu...

This is what I'm talkin about....keeping it one hundred. Ni dalili za umalaya kutombwa kisa material things.....
 
kimey .....pesa ya mboga! ...hamna kitu .....dada kachemka vibaya. aache mara moja na atubie kwa mungu wake.
hapo nimekusoma sasa kwamba dada atulie!! maana ulivyosema gari "limechoka" kwaq hiyo akipewa jipya ndo avua ch**pi?
 
anataka ushauri wakati keshachukua ka gari ka watu! hehehehe, mwambie dada yako keshalikoroga ,sasa alitie spices, alinywe tu.hapa wanasayansi wanasema ni " too late to advise"
Msimkatishe tamaa bandugu. Hivi angaza si bado ipo? Aka do the needful pale aone kama hajaliyumbiwa. Manake: gari+ kumegana + liyumba = ????
 
Dada yakoarudishe hiyo gari na kibarua kiwe mwisho kama anaipenda ndoa yake na watoto... KWISHA
 
anataka ushauri wakati keshachukua ka gari ka watu! hehehehe, mwambie dada yako keshalikoroga ,sasa alitie spices, alinywe tu.hapa wanasayansi wanasema ni " too late to advise"

Teh teh tena kwa kurahisisha safari anaweza mix na sumu ya kuulia kunguni nasikia ni kiboko yao!:angry:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom