Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,279
Teh teh atatuambia yeye ni spefic partner na wanafanya kwa maslahi ya pande zote mbili; kwa boss ambaye mkewe halipi sasa ana kitu roho inapenda na kwa dada ambaye shemegi hana mshiko hivo boss anasawazisha gap! Mtakufa mpaka mwishe na tamaa zenu! Hivi akijikuta kashajipaka upu[pu na kumpaka mtoto wa watu bwana shemeji atajisikiaje?
Naanzisha kampeni ya kuwanyonga watu wa aina hii!
na anaesimama mtaani pia ni kwa maslahi ya pande mbili......mwanamke anapata pesa mwanamme anapata pa kupozea kwa masaa kadhaa! ....
wanwake wakikuwa atawaambia nini? baba yenu hakuwa na pesa? kwani hapo alipokubali kuolewa nae hakujua? Ebus