Yan mimi mwanamke nikishasikia au kuona yuko namna hii, huwa nasikia huruma sanaaaa. Lazima kuna changamoto anayo, sio bure hiv hiv.Abakwe tu tena huyo ilibidi apigwe mtungo na mtu sita au saba hivi ili awe mfano kwa wengine.
Mwanamke unaondokaje nyumbani kusema unaenda bar kulewa?
😸😸😸Ukikumbuka vyote hivyo utakuwa umelewa stress sio Pombe!
Atakua alimpeaMwanamke unalewaje mpaka kushindwa kujitambua? Pumbavu
Yn mm nikimuona mwanamke amelewa cjui ht ntamfikiria vp, labla awe wale malayaAtakua alimpea
Hawa bro ukisema uwaonee huruma watakupasua sana kichwa na kwanza hiyo huruma utawaonea wangapi ikiwa leo pale taifa darby ya Simba v/s Yanga robo tatu ya uwanja wanajaza wao?kwenye mabanda ya mpira wanabishana mpira kama wamelogwa japo huwa wanachambua pumba.Yan mimi mwanamke nikishasikia au kuona yuko namna hii, huwa nasikia huruma sanaaaa. Lazima kuna changamoto anayo, sio bure hiv hiv.
Uaminifu ni kitu cha muhimu sana, inasikitisha pale chombo ambacho unaamini ni salama, kumbe ndio kinatumiwa ndivyo sivyo na wasio na tabia njema.
Binadamu ni watu wa ajabu sana, kwa mtu kama huyo hata kesho na kesho kutwa kaona tu umepanda na bidhaa ya thamani na akakupeleka nyumbani, si anaweza hata kukuchoresha kwa wezi
Mimi kwakwel mwanamke mlevi HAPANAAA, yan naona kama ni mtu aliyechanganyikiwa kabisa yan. Dah, Noo Nooo Noo!!!Hawa bro ukisema uwaonee huruma watakupasua sana kichwa na kwanza hiyo huruma utawaonea wangapi ikiwa leo pale taifa darby ya Simba v/s Yanga robo tatu ya uwanja wanajaza wao?kwenye mabanda ya mpira wanabishana mpira kama wamelogwa japo huwa wanachambua pumba.
Hawa hii sera yao ya 50/50 imewaharibu wanaiga mpaka ujinga wasiouweza,nina 40+ hapa Dar jiji la vurugu nina 26 yrs ila maadili yanavyoshuka miaka 10 nyuma wanawake ninaowaona leo siyo wale niliokua nao.
Niko wavuvi hapaAisee. Pole mkuu bado unalewaga mpaka leo kwahiyo!? 🥵
Life is full of suprisesKusema hivyo ni kama kusema " wanawake waache kuvaa suruali za kubana hili wasibakwe"..
kama sababu ya huyo dada kubakwa ni kulewa,je watoto wanaobakwa wanakuwaga wamelewa kwenye Uber??
Mmeamua tu kua wabakaji haina haja ya kutafuta sababu ya kuhalalisha alichofanya jamaa,,kulewa sio kosa kisheria..
Nje ya Mada,kariakoo gerezani wanaume walevi wote wanageuzana,ukilewa wahuni wanakupitia kesho maskani story kuhusu wewe
Inategemea unalewa kiasi gani. Kama unalewa kiasi cha kutojitambua lazima ubakweNimeanza kulewa kabla sijajiunga Jf
Na nimetumia Uber na Bolt kufika nyumbani
Sijawahi kukutana na changamoto,
Narequest naingia kwenye gari, nafika nnapofika nalipa nauli naenda kulala.
Watu wengine wanaletaga drama wanasingizia pombe
Mxiiew
Sijui niweke video zote ila mods watanipiga ban ya maisha😁😁Kusema hivyo ni kama kusema " wanawake waache kuvaa suruali za kubana hili wasibakwe"..
kama sababu ya huyo dada kubakwa ni kulewa,je watoto wanaobakwa wanakuwaga wamelewa kwenye Uber??
Mmeamua tu kua wabakaji haina haja ya kutafuta sababu ya kuhalalisha alichofanya jamaa,,kulewa sio kosa kisheria..
Nje ya Mada,kariakoo gerezani wanaume walevi wote wanageuzana,ukilewa wahuni wanakupitia kesho maskani story kuhusu wewe
Mara nyingi ni pale anapokuwa hana nauliMe mwenyewe naona hivo hivo hasa alileta mitego
Hivi mtu analewaje mpaka asijitambue?Inategemea unalewa kiasi gani. Kama unalewa kiasi cha kutojitambua lazima ubakwe
Nitumie PM mimi hata sijazionaSijui niweke video zote ila mods watanipiga ban ya msisha😁😁