Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,402
- 54,845
Ahahahha nashangaa jamaa anakuza mambo wakati bolt alikubaliana nae sema demu alikubali ila akiwa na hali ya kulewaHahahaha Poor Brain ndo dereva nini
Ahahahha nashangaa jamaa anakuza mambo wakati bolt alikubaliana nae sema demu alikubali ila akiwa na hali ya kulewaHahahaha Poor Brain ndo dereva nini
Ulikuwepo eneo la tukio ndugu Shahidi namba moja?Kuna dada mmoja amebakwa na dereva bolt baada ya kupanda bolt hio akiwa tungi.
Unapokuwa viwanja kuwa na mtu wako ili ukilewa akupe kampani sio unaonda pekee ako mtaishia kubakwa na madereva bolt
Kama ni hivo HALALI YAKE HUYO HAJABAKWA HUYO ALIKUWA TENDEYaani
Yaani kavaa hovyo sana mapaja yote nje
Me mwenyewe naona hivo hivo hasa alileta mitegoAhahahha nashangaa jamaa anakuza mambo wakati bolt alikubaliana nae sema demu alikubali ila akiwa na hali ya kulewa
Watu wamekubalianaKivipi
Kwahiyo yeye mwenyewe ndo katangaza au🤣🤣🤣Amedakwa sasa itakuwaje
Kwa sheria zetu..Kama walikubaliana kwanini akamatwee sasa
Ukiweza ku consider vyote hivyo automatic wewe hujalewa. Na halitokua ubakwaji (kwa Kesi hii)Usiku Bolt ukipanda hakikisha dereva na gari vina match na kwenye App yako, na mwisho kabisa share ride details na mtu awe anaona kuanzia unaondoka hadi unafika.
Huyo naye KISEBENGOO 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mwamba aliwanasa kwenye kamera akaripoti
😆😆Hiyo ni ambayo mmeona videos ila matukio hayo yanatokea mara nyingi. Kipindi napiga deiwaka bodaboda hizi stori nimezisikia sana.
Na muda mwingine unamchukua binti mnafika anapoishi anakuambia sina hela kama vipi twende ukanifire
😆😆 Na mazoezi yote hayo atajutaaaaHiyo ni ambayo mmeona videos ila matukio hayo yanatokea mara nyingi. Kipindi napiga deiwaka bodaboda hizi stori nimezisikia sana.
Na muda mwingine unamchukua binti mnafika anapoishi anakuambia sina hela kama vipi twende ukanifire
Aisee. Pole mkuu bado unalewaga mpaka leo kwahiyo!? 🥵Nimeanza kulewa kabla sijajiunga Jf
Na nimetumia Uber na Bolt kufika nyumbani
Sijawahi kukutana na changamoto,
Narequest naingia kwenye gari, nafika nnapofika nalipa nauli naenda kulala.
Watu wengine wanaletaga drama wanasingizia pombe
Mxiiew
Ukikumbuka vyote hivyo utakuwa umelewa stress sio Pombe!Usiku Bolt ukipanda hakikisha dereva na gari vina match na kwenye App yako, na mwisho kabisa share ride details na mtu awe anaona kuanzia unaondoka hadi unafika.
Hahaha that's itNahisi jamaa aliona wivu maana demu ni mkali