Dada una sura nzurii.....

Dada una sura nzurii.....

Aisee nilijua nitalufa bila kuona picha yako kasie matata hatimae leo nimekuona kumbe sio ajuza wala nini halafu hayo macho duuuh aiseee mambo mazuri

Hahahahahahaha mbona niko kawaida tuu jamani.... am not an angel neither a queen.... just a mere old woman out there who always smiles.
 
Hahahahahahaha mbona niko kawaida tuu jamani.... am not an angle neither a queen.... just a mere old woman about there who always smiles.
Aisee mambo mazuri hayo wewe ni Queen mama
 
na wewe ungemjibu "dada una roho nzuriii..." kwa kua laikubali kukusifia sasa wewe umebaki na sura nzuri na yeye ana roho nzuri...

Yaani hayo maneno hata hayakunijia. .... alinistukiza na nikajawa na bashasha..... nikabaki natabasamu tuu hehehee.
 
Lakini according to the phote u attached, i think she was juat playing at you coz u aren't such cute my dear.... Ni kawaida tu labda kama you are such older and your look doesn't match, yaani umri mkubwa kuliko muonekano, sorry for my comment

What you said is naked truth and I like it..... sijasema mie ni mzuri nimeelezea yeye amenisifia dada una sura nzuri kwa mtazamo wake yeye. Siku zote mie najiona mzee na ndo uhalisia nimezeeka na kunyanzi kibao. Na hapo chini pia nimeweka angalizo kuwa sijisifii bali naelezea tukio na picha ya Kasie ndo hiyo pia nikaweka angalizo, kuwa hiyo picha nimeipiga lini jibu liko kwenye mabano.
Umenipata? ?!! Kama bado basi si saizi yako.
 
View attachment 702207 Kasie Mahaba.

Habari zenyuu,

Ndo naingia home hapa SA hooii,sasa nikiwa migration section pale airport iki nigongewe kuwa nimerudi nchini salama, nikamkabidhi passport yangu (aliyekuwa ananihudumia ni mdada).

Baada ya kuniuliza maswali kadhaa akaniambia niangalie camera, weka finger prints akagonga muhuri kwenye passport halafu akafungua ukurasa wenye taarifa zangu kuangalia mwaka wangu wa kuzaliwa na nilivyo..

Akanitazamaaa huku akiwa ameshikilia passport yangu kwa sekunde kadhaa. Aka tabasamu huku akisema.. Dada una sura nzuri. Sikutegemea usemi ule hasa kutoka kwa mdada. Nikajikuta natabasamu kuanzia pale nia nzima hadi home. Nikamwambia asante kisha nikachukua passport yangu huyo nikakamata Gautren hadi Sandton kisha nikachukua uber hadi home.

Njiani nikawa najiuliza..... kwani huyu dada kaniambia nina sura nzuri.....

Update:

Mara nyingi watu husema wadada ni ngumu sana kusifiana yaani huwa tunaoneana wivu. Lakini huyu dada kwa tabasamu alilotoa niliona alimaanisha kunisifia aidha kwa kulinganisha umri na sura akaona sura bado ina ahueni japo umri umeenda.

Najua wako ambao wanasifia kwa unafiki ile mtu anakwambia Umependeza wakati uko kama kituo. Kama kawaida yangu nilikuwa kawaida tuu sikuwa na makeup yoyote usoni zaidi ya lipstick na wanja. Huyu dada sifa yake haikuwa ya kinafiki tabasamu lake lilisema yote.

Kingine nikaona kuwa kweli wadada tunalewa sifa, wallah angekuwa mkaka ndo kanisifia ningempa namba yangu ya simu hehehehe.

Sio siri wadada tunasikia raha sana tukisifiwa hasa sifa ikiwa ya ukweli.... yaani hadi sasa kila nikiwaza natabasamu.

Kasie Kiuso hehehehehe.

Heeey, sijaweka huu uzi kujisifia bali nimeelezea kilichotokea. This pic below is real Kasie ..... nimeipiga lini jibu kwenye mabano hehehehhe

View attachment 702209

Kasie Mahaba.
Lengo la huu Uzi ni nini?

Au unatafuta danga?

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom