Dada una sura nzurii.....

Dada una sura nzurii.....

Kwani sio kweli?? Nimekalia seat ya mbele tu ngoja waje.

Sikuwa najua kama ni kweli au laah, ila tabasamu limenijaa kila nikikumbuka..... dada una sura nzuri.....
 
Ulivosem Ahsante hakusifia pia na sauti yako?.

Hahahahahhahaa sauti wananiambiaga wengine nikizungumza nao kwenye simu, wengine nikiwa mahali pa umma halafu nataka kuuliza kitu kwa mhusika. ... ile nikianza.... excuse me.... where can u find this or that...

Mtu anabaki ananitazama na tabasamu juu hehehhe basi acha niishie hapa.
 
Mbona kawaida tu.me mdada mzuri huwa namsifia tu
Shosti una tako hatare
Shosti una mguu
Shosti una mtindi
Shosti una fito
Shosti una lips
Shosti una macho.... Kawaida tu yaani

Usemacho ni sawa kabisa Miss, hata mie huwa nawasifia sana wadada pale wanapokuwa wanahitaji compliments kiroho safi tuu na tabasamu juu.
Tofauti na inavojulikana kuwa wanawake tunaoneana wivu hatupendani tu wanafiki na blah blah kibao. Huyu dada wa migration leo kanipa tabasamu mwanana.
 
Kuna mada iliwahi kuletwa humu na mwanamke akidai amekitana na mwanamke mwenzie pahala fulani hawafahamiani wala nini lakini alimtamani ile mbaya ikafikia hatua ya kutamani angekuwa na uwezo wa kujiotesha ubor amdinye nao. Huenda nae huyo kakutamani Kasie matata toto la konyamwezi hahahaa

Looh hatari hiyo, kama yule afisa wa migration alinitamani kwa kutaka kunisigina looh akae mbali nami. Sijazikifu mboouo bado.
 
Hii thread bila picha ni sawasawa na Story ya kutunga tu...

weka picha tuone hiyo "sura nzuri"

Kasie huwa hatungi ni masimulizi ya matukio yaliyomtukia.
Picha nshaweka hapo juu na si kuwa Kasie ni mzuri au mrembo hapana bali naona yule afisa aliona labda sura yangu na umri haviendani.
Am not that cute, don't exaggerate Kasie is an old granny.
 
Akii we ni mzuri na umri nao bdo hujaenda sana kiivo mpaka usiweze kusifiwa..!! Una macho mazuri mhhh hizo lips bdo pia znalipa... aaah kwa kwa chin bdo cjajua ila nna iman miguu yako sio kama ya watu wa kanda ya kaskazin... kwako Kasie....
 
View attachment 702207 Kasie Mahaba.

Habari zenyuu,

Ndo naingia home hapa SA hooii,sasa nikiwa migration section pale airport iki nigongewe kuwa nimerudi nchini salama, nikamkabidhi passport yangu (aliyekuwa ananihudumia ni mdada).

Baada ya kuniuliza maswali kadhaa akaniambia niangalie camera, weka finger prints akagonga muhuri kwenye passport halafu akafungua ukurasa wenye taarifa zangu kuangalia mwaka wangu wa kuzaliwa na nilivyo..

Akanitazamaaa huku akiwa ameshikilia passport yangu kwa sekunde kadhaa. Aka tabasamu huku akisema.. Dada una sura nzuri. Sikutegemea usemi ule hasa kutoka kwa mdada. Nikajikuta natabasamu kuanzia pale nia nzima hadi home. Nikamwambia asante kisha nikachukua passport yangu huyo nikakamata Gautren hadi Sandton kisha nikachukua uber hadi home.

Njiani nikawa najiuliza..... kwani huyu dada kaniambia nina sura nzuri.....

Update:

Mara nyingi watu husema wadada ni ngumu sana kusifiana yaani huwa tunaoneana wivu. Lakini huyu dada kwa tabasamu alilotoa niliona alimaanisha kunisifia aidha kwa kulinganisha umri na sura akaona sura bado ina ahueni japo umri umeenda.

Najua wako ambao wanasifia kwa unafiki ile mtu anakwambia Umependeza wakati uko kama kituo. Kama kawaida yangu nilikuwa kawaida tuu sikuwa na makeup yoyote usoni zaidi ya lipstick na wanja. Huyu dada sifa yake haikuwa ya kinafiki tabasamu lake lilisema yote.

Kingine nikaona kuwa kweli wadada tunalewa sifa, wallah angekuwa mkaka ndo kanisifia ningempa namba yangu ya simu hehehehe.

Sio siri wadada tunasikia raha sana tukisifiwa hasa sifa ikiwa ya ukweli.... yaani hadi sasa kila nikiwaza natabasamu.

Kasie Kiuso hehehehehe.

Heeey, sijaweka huu uzi kujisifia bali nimeelezea kilichotokea. This pic below is real Kasie ..... nimeipiga lini jibu kwenye mabano hehehehhe

View attachment 702209

Kasie Mahaba.
Huhu ndio MBITIYAZA?
 
Yaani uliondoka unatabasamu njia nzima halafu baadae ndo ukarudi kumwambia asante.... Chai

It's a way of reporting man, I was anxious with the compliment... anyways can't prove anything roo you I just say what happens. If you take it as lye that's an up to you.
 
"Eti ukatabasamu njia nzima hadi home. Ukasema asante halafu ukachukua passport" haya bana

Ungekuwa ushakutana na Kasie na kuona jinsi anavoongea wala usingehamaki.
Talking words.
 
Haya, kama hii picha ni yako, nami nasema MashaAllah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom