Dada una sura nzurii.....

Dada una sura nzurii.....

Tatizo lako limekuwa kubwa saiv kias umeshindwa kumuuliza aliyekuona unakuja kuuliza apa ambao hata hawakufaham..

Rudi ukamuulize aliyekuambia iyo mitaa..hapaitwi GAUTREN NI GAUTRAIN..Empty set!

Natamani kusikia sauti yako ukitamka empty set.....
Shleep well.... ciao.
 
Tuma picha ya sura yako pm then niangalie nilete mrejesho hapa

PM situmiii picha iko hapo juu angalia Kasie kibibi kizee walau lipstick imeshika shika hehehehehe kunyanzi kibao.
 
na wewe ungemjibu "dada una roho nzuriii..." kwa kua laikubali kukusifia sasa wewe umebaki na sura nzuri na yeye ana roho nzuri...
 
Mbona kawaida tu.me mdada mzuri huwa namsifia tu
Shosti una tako hatare
Shosti una mguu
Shosti una mtindi
Shosti una fito
Shosti una lips
Shosti una macho.... Kawaida tu yaani
Mbona umbo la kiboko hujaweka???
 
We una sura nzuri ndio, mi cjaona ubaya wake, keep it natural
 
Uzi wa watu wazito huu mi napita tu
 
PM situmiii picha iko hapo juu angalia Kasie kibibi kizee walau lipstick imeshika shika hehehehehe kunyanzi kibao.

Daaah hizo lips nimemkumbuka sana Asha Mautamu wa huko Mabatini Mwanza wakati nikiwa utingo wa Fuso
 
Okay, nimekupata Kasie usije ukaning'ata bure
It's a way of reporting man, I was anxious with the compliment... anyways can't prove anything roo you I just say what happens. If you take it as lye that's an up to you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom