Dada una sura nzurii.....

Dada una sura nzurii.....

Tatizo lako limekuwa kubwa saiv kias umeshindwa kumuuliza aliyekuona unakuja kuuliza apa ambao hata hawakufaham..

Rudi ukamuulize aliyekuambia iyo mitaa..hapaitwi GAUTREN NI GAUTRAIN..Empty set!

Hakuna mtaa unaoitwa GAUTRAIN...hiyo ni transport system.

Ila kuna mji unaitwa GAUTENG.

Unapenda kukosoa sana aisee..utakuwa na maisha magumu mno! Always seeing the negative..kunywa chai usepe sasa kama kila thread ya Kasie ukiiamini si utakuwa kichaa!???
 
Hakuna mtaa unaoitwa GAUTRAIN...hiyo ni transport system.

Ila kuna mji unaitwa GAUTENG.

Unapenda kukosoa sana aisee..utakuwa na maisha magumu mno! Always seeing the negative..kunywa chai usepe sasa kama kila thread ya Kasie ukiiamini si utakuwa kichaa!???

Heey, kamba bado imekatika ujue...
 
Usije kuta uyo dada ni msagaji anataka akukoboe
 
KAMA HUYO KWENYE PICHA NDO WEWE BASI KAKUPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA.SI KWA TABASAMU HILO MKUU KAMA UNABEMBELEZA AJIRA KWA MENEJA MWAJIRI.
 
Dah basi ngoja nifanye makarateka ila sasa huku ni habari za kusikitisha tu mpaka sina hamu tena....

Oooh don't say that bana.... I hope we can talk about it.
 
KAMA HUYO KWENYE PICHA NDO WEWE BASI KAKUPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA.SI KWA TABASAMU HILO MKUU KAMA UNABEMBELEZA AJIRA KWA MENEJA MWAJIRI.

Wala hujakosea, mke mwenyewe najijua nimezeeka niko kibibi bin kigagula na sikuzote nawekaga wazi humu. That pic is real Kasie.... and at the bottom I put a note .... I think you missed it. If you still miss it please ask your neighbour.
 
Looh hatari hiyo, kama yule afisa wa migration alinitamani kwa kutaka kunisigina looh akae mbali nami. Sijazikifu mboouo bado.
Mmmngh! Kasie matata toto la kinyamwezi una mambo ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom