MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Jamani wakuu kuna yoyote mwenye taarifa ya dada yetu huyu? I love this lady na hoja zake alizo kuwa akizitoa humu JF. Mara ya mwisho nili sikia ana nafasi nzuri tu ya kushinda ila tokea kura zipigwe rasmi Jumapili sija sikia chochote.