Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Kuna mwamba amenicheki jana, akawa na malalamiko yake ana mdate dada wa miaka 37, na yeye mwamba ako na miaka 45
Sasa kero yake moja tu, anasema wame date kwa miezi 6, juzi dada anamwuliza huyu kaka swali hili;
''Babe, samahani nikuulize swali, eti kwanini unanipenda, kwanini umenichagua mimi''
Mwamba: Money Penny hili swali kwa wanaume linatukera sana, basi tu kwanza hatunaga majibu nalo sisi wanaume.
eti wanaume mlioko huku, kuna ukweli kwenye hili analosema huyu mwamba?
au anamtafutia binti wa watu sababu?
Sasa kero yake moja tu, anasema wame date kwa miezi 6, juzi dada anamwuliza huyu kaka swali hili;
''Babe, samahani nikuulize swali, eti kwanini unanipenda, kwanini umenichagua mimi''
Mwamba: Money Penny hili swali kwa wanaume linatukera sana, basi tu kwanza hatunaga majibu nalo sisi wanaume.
eti wanaume mlioko huku, kuna ukweli kwenye hili analosema huyu mwamba?
au anamtafutia binti wa watu sababu?