Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Sina kawaida ya kupost new post usiku ila hii imenibidi.
Ni hv nina rafiki yangu kipenzi wa kike tulikuwa wote mzumbe ikatokea dada yake anachakachuliwa na prof wa hapo chuo nje ya ndoa, mume wa dada yake akashitukia issue dada mtu akambembeleza mdogo mtu aokoe jahazi kuwa prf ni wake na si wa dada kakubali kwa bahati mbaya mke wa prof akafariki. Prof akaamua kuchukua jumla mdogo mtu baada ya mwaka na zaidi hv.
Sasa isue iko kwa dada mtu kaenda kumwomba mdogo mtu kiac fulani cha pesa akaambiwa hana mambo yake safi lkn dada kaja juu ugomvi na kumwambia kuwa bila mimi ungefika hapo ulipo? ni taabu kwenda mbele hawaongei kabisa ni balaa kweli kaniuliza afanyeje nimemwambia asubiri nitampa jibu kesho nisaidieni nimwambieje??
Ni hv nina rafiki yangu kipenzi wa kike tulikuwa wote mzumbe ikatokea dada yake anachakachuliwa na prof wa hapo chuo nje ya ndoa, mume wa dada yake akashitukia issue dada mtu akambembeleza mdogo mtu aokoe jahazi kuwa prf ni wake na si wa dada kakubali kwa bahati mbaya mke wa prof akafariki. Prof akaamua kuchukua jumla mdogo mtu baada ya mwaka na zaidi hv.
Sasa isue iko kwa dada mtu kaenda kumwomba mdogo mtu kiac fulani cha pesa akaambiwa hana mambo yake safi lkn dada kaja juu ugomvi na kumwambia kuwa bila mimi ungefika hapo ulipo? ni taabu kwenda mbele hawaongei kabisa ni balaa kweli kaniuliza afanyeje nimemwambia asubiri nitampa jibu kesho nisaidieni nimwambieje??