VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
:gossip:mwambie kuwa ili waende sawa aendelee kuliwa uroda na Prof pia.....atapata hizo pesa.
MR , usishangae hawa ni kama askari wanakuwa tayari katika wakati unaofaa na usiofaa. Hapo jiulize binadamu wanavyochezeana akili na kujiona washindi halafu mwisho wake anajikuta yeye mwenyewe amechanganyikiwa na kuanza vituko badala ya kusherehekea ushindi.Kweli makubwa madogo yana nafuu ahhh
Heri umenena FP, Hata kama umefuzu kiwango kipi cha Ushauri wa Binadamu , Kushauri hii variety ya binadamu utaonekana kilaza tu.sipati picha kulala na mume wa dada yangu, yaani wanaume wote hawa mitaani mpaka tuchangie mwanaume na ndugu yangu? lol! hiyo familia ni balaa................. hata kuwashauri hakuna maana................ wanajuana
Heri umenena FP, Hata kama umefuzu kiwango kipi cha Ushauri wa Binadamu , Kushauri hii variety ya binadamu utaonekana kilaza tu.
wakashauriane na dada yake, si ndo walishauriana wakati wanaamua kumchakachua prof wa watu? DA, kama hawa ndo ma-best friend wako itabidi nimsake BE sasa hivi kumwambia kuhusu hili, maana inaonekana wewe pia ulikuwa unalijua hili kabla hawajaingia huko.
Ha ha ha acha unoko wewe. Nilikuwa nae chuo sikuona hayo tukaendelea na urafiki
Mimi huku nilipo ni mbaliiii sana my dear hata alivyoniambia kwa mara ya kwanza nilichoka mwenyewe ndo maana hata jana alivyoniandikia email alinichanganya nikashindwa cha kumjibu maana hakutenda haki
asavali umenitoa wasiwasi, maana sasa nilikuwa nafikiria kama huyu ndo best friend basi BE ahesabu maumivu......... huyo rafiki yako achana naye, huna la kumshauri maana tayari yupo ndani ya ndoa aliyoichakachua, na ategemee naye kuchakachuliwa hivyo hivyo
wakashauriane na dada yake, si ndo walishauriana wakati wanaamua kumchakachua prof wa watu? DA, kama hawa ndo ma-best friend wako itabidi nimsake BE sasa hivi kumwambia kuhusu hili, maana inaonekana wewe pia ulikuwa unalijua hili kabla hawajaingia huko.
FP unajua alipo BE nishamtafuta sijampata sijui kakumbwa na nini
hajaenda likizo kweli? wewe ndo nilitegemea utajua yuko wapi maana tulishakukabidhi. au mama E kagundulia dili so kapigwa stop hapa JF? just thinking!
Hizi posting Via Mobile bana...
Mi hii sredi sijaielewa kabsaaaaa!
Jamani hamjambo! Mimi nilikuwa napita tu naelekea ofisini. Nitarudi baadaye nikitoka ofisini.
Hakufa kwa ugonjwa.