Dada mkuu wa darisalama

Dada mkuu wa darisalama

Kuna mademu wengine wanajichukia sana kukoswa msamwanda maana kwa sasa mwanamke bila msamwanda ni sawa na mwanaume asie na pesa mademu wazuri utaishia kutizama tu
 
Wewe kuna Sanchoka Kiboko yao halafu yupo Natural Aggy sasa hv hana soko kabisaa
c128d75e4941e57d53adbe2517c6a3e1.jpg
 
Punga lile linabaki kula kwa macho na kusubiri kupewa busu


ila nae mkewe ana sura hiyo na amepangika vema tuu alikosea njia tuu dada wa watu
 
Katika kumlaumu bwana Madereva hili siwezi kumlaumu hata chembe, tamlaumu kwa mengine ila hili taungana naye najua hata wabunge katika hili wanamuunga mkono pia. Wapo walioenda mbali zaidi na kusema kwanini hakumjengea kagorofa kule upepo unakovuma unaenda kumlipia kodi kwenye vumbi huko.

 
Hata kama ningekuwa mm nisinge mshika,hongera mkuu apo unapata RAHA kwingne kuna raha
 
Back
Top Bottom