Duh!!!!Kuna tetesi kiranja mkuu wa darisalama ana choo kikubwa kuliko huyu binti
Ohoooooo!!!Juzi walikua naye South Africa
Nyakyusa girl kwakweli aggy amejaaliwa but 0 brain hajui kutumia msambwanda wke akachukue hta ushauri kwa vera sidika tena wa vera ni fake lkn anaogelea midola!!!!Lawama nyingine hazina maana kabisa. Yaani knamlaumu mtu kuangukia sehemu kama hii. Hivi ndege ikipasuka angani kuna abiria atachagua kuanguka nchi kavu? Si kila mtu atamwomba Muumba wake aangukie kwenye maji? Kwa hapa "mungu" wa Dar umepatia mwaya wala wasikuzodoe, kamatia chini!!

Labda tufuate ushauri wa Sugu wa kumpeleka kwa Mganga Mkuu ili apimwe nanihiiKwan kazi kujua hilo, wewe mpe hiyo yako uje na jibu sahihi kama ni punga au la!
Km ana tabia za kiarab bs mkulu anafaidi saanaDuuuuu kweliii
Binadamuu! Jeuri yetu ni ndogo Sana hapo siku ya kufa hakuna atakayependa hata kumsogelea, uzuri wote umbo lote zuri litakuwa thaman ya funza na udongo...Lakini jamaa anafaidiView attachment 469353

Huyu ndio anadai kaokoka?Lakini jamaa anafaidiView attachment 469353

Saizi,Tofauti ya Mlokole na ambaye sio Mlokole ni ndogo sana hasa katika mavazi.Huyu si juzi tu alisema ameokoka,haya ndiyo mavazi ya mlokole haya?