Dada mkuu wa darisalama

Dada mkuu wa darisalama

Binadamuu! Jeuri yetu ni ndogo Sana hapo siku ya kufa hakuna atakayependa hata kumsogelea, uzuri wote umbo lote zuri litakuwa thaman ya funza na udongo...

Hao wanaomtaman sasa na wanaomfaidi siku ikifika watamwogopa na hata kukwepa kaburi lake....

Hata kuwa na rafiki tena wala Mtu anayempenda giza totoro upweke na adhabu ya kaburi ndio vitakuwa karibu take...
Haya maisha Haya
Acha story za kifo ni mkosi tukifa yatabaki tukiwepo tujitaidi kuwala tena kwa juhudi tunaishi Mara moja duniani
 
Ningekua kaka mkuu nakula hapo ningehakikisha anameza mtu tumboni fasta.
 
Mnasifia tu hayo mav* yake hana lolote yaani akili yake ni hayo mav*
 
Kuna wanawake wengine ukifumaniwa nao ....na mkeo hatalalamika .....maana kabebelea kibweta nyuma anakikokota.....ila sasa home boy anafaidi utumbo Wa huyu mrembo .....eti masogange ni Wa mbeya....kama Dada yule Wa Dumange?
 
Back
Top Bottom