Dada ananipigia pande kwa mdogo wake

Dada ananipigia pande kwa mdogo wake

Sometimes mambo mengine yanashangaza sana, dada yangu anafanya biashara na dada flani kitambo tu na tunafahamiana vizuri, mwanzoni alikuwa ananiita kaka ila siku hizi ananiita Shem hii ni baada ya mdogo wake kuja kuishi naye.

Mwanzoni alinambia nataka uwe shem wangu kwa hiyo ongea naye dogo atakuelewa tu nikamwambia poa kisha nikapotezea, sasa hiyo siku dada kanipigia tukaongea kisha akanambia ongea na dogo, nikashindwa kukataa, katika kuongea naye nikamtongoza maana mtoto mwenyewe 'sio wa nchi hii' ila mtoto akavunga, baadaye dada kanipigia anauliza vipi nikamwambia bado somo halijamuingia vizuri akasema usjali.

Kesho yake akapiga akampa tena kuongea naye akaelewa, hata sijui alimpanga vipi, sasa huyu mtoto sikuwa na mawazo naye kabisaa je, nikimgonga sina future naye si ndio mwanzo wa kutengeza uhasama huu, na madada wa humu unaweza fanya kitu kama hiki au ulishawahi kufanya?

NOTE: Huyu dada tulikuwa tunaheshimiana sana before.
Kuwa na mahusiano na mtu flani haimaanishi kwamba hamuheshimiani
 
kwani wewe unataka uombwe baada ya muda gani? kwangu siku tatu tu zinatosha, inabidi upajue home
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji4] [emoji4]

We ndio fala kweli.......
Mm mwanaume nawaambia wanaume kama si wavulana wenzangu mbadilike acheni tabia yenu ya kuomba papuchi mapema ikiwezekana oa kabisa ujilie vzuri au kaa hata mwaka 1&3 ndio umuombee nyapu.....

[emoji4] [emoji95] [emoji379]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji4] [emoji4]

We ndio fala kweli.......
Mm mwanaume nawaambia wanaume kama si wavulana wenzangu mbadilike acheni tabia yenu ya kuomba papuchi mapema ikiwezekana oa kabisa ujilie vzuri au kaa hata mwaka 1&3 ndio umuombee nyapu.....

[emoji4] [emoji95] [emoji379]
haya umesikika
 
acha ubwege wewe? ndiyo tatizo la vijana walio kosa mafunzo ya wajomba. kuacha kitu kama hiyo ni mwiko mkubwa sana kwa mtoto wa kiume. ukikataa kubali kuhitwa shoga au jogoo awiki.
[emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38]
Unaangalia na mazingira sio kila kitu unafuata utamaduni mila na desturi.....
Vitu vingine vya kufikiria sio kukimbilia kula nyapu.......

[emoji4] [emoji95] [emoji379]
 
Kama unataka kumla tu(of which haitopendeza) maana ushasema interest nae huna.
kwakweli sina mpango naye wowote, amekuja katikati tu, ila bana haya mambo ya mapenzi kizungumkuti, unaweza kujikuta wewe ndo unakuwa teja
 
Back
Top Bottom