Dada ananipigia pande kwa mdogo wake

Dada ananipigia pande kwa mdogo wake

Kila kitu maamuzi tu. Ila kuwa makini sana. Maana Haya mambo yakupigiwa pande sio ishu
 
Mbona huwa kuna watu wanabahat nzuri katika maisha yao alaf hawajitambui..
Mimi hapo nagaragaza wote nikipataga chance kama hii sifanyi kosa coz baadae nitajilaumu..
 
Mbona suala jepesi tu hilo, unless.........

Mie sijawahi kumfanyia hivyo mdogo wangu.
 
Mbona suala jepesi tu hilo, unless.........

Mie sijawahi kumfanyia hivyo mdogo wangu.
mbona unaongea kwa code, wengine sio wataalamu wa kukonekti doti, halafu hapo kwenye doti doti ungepamalizia
 
Unauziwa mbuzi kwenye gunia wewe,.. shtukaa. Kimbia wala usigeuke nyuma. Utakuja Juta.
 
Sometimes mambo mengine yanashangaza sana, dada yangu anafanya biashara na dada flani kitambo tu na tunafahamiana vizuri, mwanzoni alikuwa ananiita kaka ila siku hizi ananiita Shem hii ni baada ya mdogo wake kuja kuishi naye.

Mwanzoni alinambia nataka uwe shem wangu kwa hiyo ongea naye dogo atakuelewa tu nikamwambia poa kisha nikapotezea, sasa hiyo siku dada kanipigia tukaongea kisha akanambia ongea na dogo, nikashindwa kukataa, katika kuongea naye nikamtongoza maana mtoto mwenyewe 'sio wa nchi hii' ila mtoto akavunga, baadaye dada kanipigia anauliza vipi nikamwambia bado somo halijamuingia vizuri akasema usjali.

Kesho yake akapiga akampa tena kuongea naye akaelewa, hata sijui alimpanga vipi, sasa huyu mtoto sikuwa na mawazo naye kabisaa je, nikimgonga sina future naye si ndio mwanzo wa kutengeza uhasama huu, na madada wa humu unaweza fanya kitu kama hiki au ulishawahi kufanya?

NOTE: Huyu dada tulikuwa tunaheshimiana sana before.
msinyimane ....imeandikwa [emoji1] mkuuu
 
Headline yako ya uzi ina ukakasi mno hasa kwa sisi Watumiaji wa Kiswahili sanifu kabisa. Hivi inawezekana kweli DADA AKAKUPIGIA PANDE KWA MDOGO WAKE? Je Headline yako ingekuwa MFANYAKAZI MWENZANGU WA KIKE ANANIPIGIA PANDE KWA MDOGO WAKE isingependeza Mkuu? Wengi wetu hicho Kichwa chako cha Habari tumekielewa kama vile Dada yako wa damu kakupigia pande kwa mdogo wake na ndipo ulipotuchanganya hapo Mkuu. Siku nyingine jitahidi mno kuweka Headline yako ieleweke na iwe very striking ili ivutie hata kutiririka nayo. Ni ushauri tu lakini usianze kumaindi na ukanipovukia bure!
point
 
Watu wa karne hii sio wa mchezo mchezo....
Yaani mwanamke umekutana nae Leo halafu jioni unaomba papuchi, wengine mpaka wiki ndio hupewa papuchi,
Kwani hamwezi kukaa nae bila kumuomba papuchi hata miezi mpka mwaka mzima....

Badilikeni wanaume....
wewe umebadilika.......kweli?
aysee,me ningeanza na dada yake kabisa.acha uzembe mkuu,we vp wewe?aargh
 
Back
Top Bottom