Dada ananipigia pande kwa mdogo wake

Dada ananipigia pande kwa mdogo wake

mkuu, kwa hiyo ukitaka kumpata demu yeyote mtumie demu mwenzie [emoji15] [emoji15] , hiyo logic[emoji4] [emoji4]
 
kwakweli sina mpango naye wowote, amekuja katikati tu, ila bana haya mambo ya mapenzi kizungumkuti, unaweza kujikuta wewe ndo unakuwa teja

Wakati mwingine mapenzi huwa hayajaribiwi, waweza shangaa wewe ndio ukakolea.
Mchunguze uone kama anakufaa, basi akili kumkichwa.
 
Fanya practical kwanza jinga wewe, matokeo yatakavyokuja ni yako na potelea pote
 
Akili za kuambiwa changanya na zako, huyo dogo umepewa pande sababu dada mtu anakujua vizuri. Sasa wewe tanguliza tamaa...
 
Wakati mwingine mapenzi huwa hayajaribiwi, waweza shangaa wewe ndio ukakolea.
Mchunguze uone kama anakufaa, basi akili kumkichwa.
Sawa dada nitafanya hivyo, yaani sasa hivi hata nikimpigia simu sister nimpe hai anampa moja kwa moja mdogo wake
 
Back
Top Bottom