Daah Ajira ngumu aisee!

Daah Ajira ngumu aisee!

Kama hii story ni ya kweli pole sana mkuu,nahisi kuna walakini?je wewe ni mbinafsi?je ni msiri,je ni mtu usiependa kujichanganya na wengine?maana nadhani una marafiki nao wangekueleza au kukusaidia maana wao si wameshaajiriwa?mm nina ushahidi wa marafiki ambao kapata kazi akisikia nafas anamtonya na mwenzie,au ana ndugu yake bossi anamwambia nina rafiki yangu ana passmark nzuri kama ukisikia nafasi muite plz,na uhakika ukifanya hivo utafanikiwa,uwe pia mtu wa maombi,usijitegemee mwenyewe km ulivokuwa shule kwenye chumba cha pepa,naamini kwa haya mwezi uu utaitwa usaili zaidi na utapata kazi
 
Amina. Asante kwa ushauri
 
Asee! Pole sana mkuu!! Katika safari yako yote hii ya kutafuta Ajira, hukuwahi kuwaza kujiajiri? Sasa hivi unafanya shughuli gani? Asee kwa maelezo uliyotoa inaonyesha wewe ni muhangaikaji sana! naomba nikupe big up kwa hilo.
 
Kama una mpango wa Kuajiriwa, tafuta kazi ya kujitolea katika sehemu nzuri (big names) ktk fani yako. Then tumia hayo majina katika CV kuonesha una uzoefu.

Kama unataka kujiajiri volunteer kwa wanaojiajiri (I mean small organizations) ili ujifunze milima na mabonde na ujue pa kuanzia!

All The Best :wave:
 
pole sana mkuu,tatizo kubwa ulilo nalo ni uvutaji wa bangi na unywaji wa pombe ulio zidisha, nakushauri acha au pumzika kwa muda nawe utapata kazi, mie pia nilipitia hatua kama zako kdogo nimebadilika na nimeanza kuona mafanikio..USHAURI!! njoo hapa TALIRI MPWAPWA ujitolee then utapata ajira soon! BADIRIKA KAKA!,,.
 
Mimi nilikuwa naomba kazi sana but nilikuwa namwomba xana Mungu hadi nilikonda, jaribu kumwomba Mungu....Pia sijajua ufaulu wako kiongozi
 
kaka pole kwako pole kwangu pia office nyingi haziihtaji ma volunteer xaxa cjui mm hyo experience ntaipata wapi mijini cna ndugu wakaribu acha nifie hapa kwetu kijijini Eeee Mungu naomba unisitiri
 
Kaka challenges in part ya maisha. Get rich or die trying. Asiye kata tamaa ndie anae fanikiwa . Vile vile challenges zinamfanya mtu awe strong 🙂. Wengi wamefanya mambo makubwa sio kwa ajili yao tu bali watu wengine, eg. Martin luther king, Malcom x, etc. Wewe pia unakomaa kwa ajili yako na familia yako possibly, usikate tamaa your time will come. Always try to have plan B na mbinu mbadala.
 
daa watu wanapo xema tujiajiri cjui wanamaanisha nn kama hat hyo mikopo yenyewe kuipata ni process na je mtu wa sociology utajiajiri kwa kufungua kituo cha watoto yatma? kiukweli baadhi ya course hazna masomo ya ujasiriamali and cjui kwann serikali inakumbatia wazee waliostaili kustaafu matokeo yake tunakujakupata ajira umri ambao tulistaili kustaafu, serikali ingetupatia ajira wahitmu wote hata huo mkopo wanaotudai cdhani kama ungesumbua kurejesha maana wangetukata direct tatzo wadaiwa wengi hawapo kwenye ajira rasmi sasa hii serikali ilihitaj wote tuwe waalimu ilitupate ajira? wadaktari? na kwann hizi koz nyngne wasizifute kama hizihitajiki kwa sasa mmi cna bibi wala babu serikalini simfahamu mtutu yeyote aliyepo kwenye system nitapata ajira lini? acha niendelee na hay maisha ya mlo mmoja tena usiokua na uhakika nikisubiri bahati inifikie Waasalam to Mr President
 
kb52 umekuwa kimya sana. vp usaili pale TRA? tukupe hongers?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom