Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,907
Muda wote naheshimu mawazo yako na nashukuru kwa mchango wako. Labda kuongezea hapo...nilikua nikituma maombi yangu kwa nafasi zilizokua zikitangazwa na pia nilikua nikituma na kuomba kazi hata sehemu ambazo hawajatangaza nafasi za ajira ili mradi tu CV yangu ibaki katika kumbukumbu zao na kuweza kupata kazi kiurahisi pindi watakapohitaji watu.
Kwa mwaka 2012...nilikua nikiitwa kwenye interview kila mwezi from january to december...na kila mwezi nilikua naitwa interview 2...na sijafanikiwa. Mfano... TCAA...NSSF..TOLL...tanesco...African Barrick....yani sehemu mbali mbali..ofisi kubwa kubwa. Nilikua nabadili aina mbali mbali ya CV na Cover letters...ambazo zilinifanya niitwe mara kwa mara. Nina vyeti vya kujitolea..sehemu kama Bungeni..dodoma...Mpwapwa District council..etc etc...ninavyeti vya safety...fire..firstaid....chemical and synide...leaderships..etc etc ambavyo nilivipata ktika trainings....so utaona ni kwa jinsi gani nilivyo. Hapa sasa ninachofanya ni kuomba kazi na zile za kuvolunteer. But majibu hayatoki...mfano za Sumatra...tra..tpdc..iita..etc etc ambazo zilitoka mwezi majuz...majibu yakunaja mavimavi tu....we acknowledge sijui nini nn...yani mavimavi tu wananijibu. Na hasira sana hapa kaka.
Ahhhahahahahahahahajahjahshshsjahahahahajahajahajahajaaajaajjhajahahahahahahahahhahahahahhhahahahahahabahaahah yaaani badala ya kukuonea huruma unanifanya nicheke tu daah hadi machozi hahhhahahahhahjahaja