Daah Ajira ngumu aisee!

Daah Ajira ngumu aisee!

Muda wote naheshimu mawazo yako na nashukuru kwa mchango wako. Labda kuongezea hapo...nilikua nikituma maombi yangu kwa nafasi zilizokua zikitangazwa na pia nilikua nikituma na kuomba kazi hata sehemu ambazo hawajatangaza nafasi za ajira ili mradi tu CV yangu ibaki katika kumbukumbu zao na kuweza kupata kazi kiurahisi pindi watakapohitaji watu.


Kwa mwaka 2012...nilikua nikiitwa kwenye interview kila mwezi from january to december...na kila mwezi nilikua naitwa interview 2...na sijafanikiwa. Mfano... TCAA...NSSF..TOLL...tanesco...African Barrick....yani sehemu mbali mbali..ofisi kubwa kubwa. Nilikua nabadili aina mbali mbali ya CV na Cover letters...ambazo zilinifanya niitwe mara kwa mara. Nina vyeti vya kujitolea..sehemu kama Bungeni..dodoma...Mpwapwa District council..etc etc...ninavyeti vya safety...fire..firstaid....chemical and synide...leaderships..etc etc ambavyo nilivipata ktika trainings....so utaona ni kwa jinsi gani nilivyo. Hapa sasa ninachofanya ni kuomba kazi na zile za kuvolunteer. But majibu hayatoki...mfano za Sumatra...tra..tpdc..iita..etc etc ambazo zilitoka mwezi majuz...majibu yakunaja mavimavi tu....we acknowledge sijui nini nn...yani mavimavi tu wananijibu. Na hasira sana hapa kaka.

Ahhhahahahahahahahajahjahshshsjahahahahajahajahajahajaaajaajjhajahahahahahahahahhahahahahhhahahahahahabahaahah yaaani badala ya kukuonea huruma unanifanya nicheke tu daah hadi machozi hahhhahahahhahjahaja
 
Dah pole sana mkuu. Japo hata mimi ajira imeshindikana. Kinachoniumiza ni jitihada nlizokuwa nazo wakati nasoma. Dah inauma sana....
 
Wanasema toa pesa upate kazi. Wengine wanakwambia uwape kuanzia laki 7.....ukiwambia wakupe kazi then watachukua kwenye mshahara wanakataa. Wanasema mkono kwa mkono. Ukijichek..hizo laki saba huna. Na jamaa anayekwambia ukimwangalia..kakaa kitapelitapeli tu. Mpaka usawa huu nilishalizwa 300,000.

Mkuu mi namtafuta anayetaka pesa anipe kazi simpati. Mtafute mwenye kazi atupatie mimi nitakulipia na wewe.
 
Katika kutafuta ajira kwa kweli mashirika ya Umma ni ngumu sana kupata ajira kama ilivyonitokea mimi ila kuna jamaa aliniambia nijaribu Sekretariat ya ajira basi nilifanya usahili mara mbili hatimaye nikapangiwa kituo cha kazi(Placement).Jaribu huko utatoka vema ila ukiitwa kwenye usahili jitahidi kusoma kwa bidii sana maana wale wanatoa maswali ya darasani tu.
 
Ndugu kb52 bado hujafanikiwa mpaka leo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom