Daah Ajira ngumu aisee!

Daah Ajira ngumu aisee!

God Father in Heaven have Mercy on Us.God I pray for this Boy,open your gates of heaven,so that he may get the desire of his heart,for your glory.Give him the best, the one which glorify your name.We thank you Lord because you are going to answer it for your Glory.Amen.My you please inbox me your mobile number.Ndugu usikate tamaa.
 
Ah!! Mbona tayari una ajira. Watu wote hao uliofahamiana nao kwenye mishe za kuomba kazi ni mtaji tosha kukiingiza kipato. Imagine ungekuwa unawauzia vest,socks,pyfume au mashuka. Amka bro.
 
Amen Amen. Thank you Lord Jesus!..u said its all done. .there at the Cross. Amen Jesus. Thanks for a nice prayer
 
Wazo zuri kaka. Nashukuru Mungu nilipata hela ya kujisajiri tu kwenye bodi hiyo ya NBAA. Sasa ni kama mwanachama tu na Nilitegemea ningepata ajira ningekua nafanya kazi huku nasoma...sasa sina hata pesa ya kulipia mitihani hiyo na hata pesa za maandalizi ingawa nnaouwezo kabisa wa kufaulu bila kurudi nyuma. Na kiujumla mitihani hiyo haihitaji ujiandae huku ukiwa na stress kama time hii nilivyo. Natamani sana lakin ndio ivo bro. Kwani hakuna kitu napenda kama kusoma.....Hua nahisi ni kusoma ni kama hoby kwangu.

Hukuwai kufikiria kurudi tena seminary ukaendelee na malezi uliyokuwa umeanza labda Mungu alikuita umtumikie upande mwingine.Ni pm namba yako.
 
Ah!! Mbona tayari una ajira. Watu wote hao uliofahamiana nao kwenye mishe za kuomba kazi ni mtaji tosha kukiingiza kipato. Imagine ungekuwa unawauzia vest,socks,pyfume au mashuka. Amka bro.

Haha! Mkuu mbona umenivunja mbavu!! hicho unachosema ni biashara nayeye kasema hana mtaji.wewe uliwezaje?

KIUKWELI duniani kote ukitaka hela lazima uwe na hela, hata ajira sometimes inataka hela (rushwa).Wahitimu wengi wameshazi set mind zao KUAJIRIWA kuliko KUZALISHA AJIRA.Kujiajiri kuna mitihani na challenge nyingi kam ilivyo kuajiriwa.Watu wengi wanajua tuu kutoa ushauri mwepesimwepesi kwenye mambbo magumu.
Ajira inauhusiano mkubwa haya yafuatayo:-
1. Good network na watu
2.Information kuhusu kazi
3.Nguvu ya ushawishi kwenye usahili
4. Uwezo wa kitaaluma
5. Uzoefu wa kazi (with good records)
6. Bahati pia inahusu.
 
Polisi sitaki kabisa kuwasikia. Jamaa waliwahi kunivuta korodan zangu. Sitaki kabisa hata hilo jina. Mavi mavi tu wale
Ha ha haa,pole sana ndugu yangu utapata tu usikate tamaa.
Ila umenichekesha ulivyo igomea hiyo kazi ya upolisi ha ha ha!
 
Sikuwahi kurudi tena seminary kuendelea na malezi.
 
Sa apa bro umeniponda ama umeandika mavimavi tu?...izo vest napata bure ama?..unaudhi ujue?..sio kila mtu katokea familia ya kitajiri kama wewe...toka primary unadrive...ukiomba kwenu hela unapewa...umejengewa mpaka nyumba na wazazi wako unaishi na mkeo na kazi nzuri ukaikuta baada ya kumaliza masomo licha ya kwamba ulifeli na hawakuangalia hilo. So stop kutuudhi watu kama sisi kwa lugha hizo.
 
Haha! Mkuu mbona umenivunja mbavu!! hicho unachosema ni biashara nayeye kasema hana mtaji.wewe uliwezaje?

KIUKWELI duniani kote ukitaka hela lazima uwe na hela, hata ajira sometimes inataka hela (rushwa).Wahitimu wengi wameshazi set mind zao KUAJIRIWA kuliko KUZALISHA AJIRA.Kujiajiri kuna mitihani na challenge nyingi kam ilivyo kuajiriwa.Watu wengi wanajua tuu kutoa ushauri mwepesimwepesi kwenye mambbo magumu.
Ajira inauhusiano mkubwa haya yafuatayo:-
1. Good network na watu
2.Information kuhusu kazi
3.Nguvu ya ushawishi kwenye usahili
4. Uwezo wa kitaaluma
5. Uzoefu wa kazi (with good records)
6. Bahati pia inahusu.


Usicheke mkuu, Kuna mahali ndani ya hii thread mpiganaji Kb52 alisema amehonga hadi laki 3, huo si mtaji tosha. Kuna dada fulani ametoka kimasihara hivi hivi kupitia biashara kama hizi. Narudia tena; watu ni pesa na wewe una network nzuri. Kama mtu hakupi kazi basi anunue hata vest au mashuka. Food for thought.
 
huyu anachagua kazi..me mwwnyewe nilipomaliza chuo nilikuwa nahangaika hivyo hivyo kwa kutafuta kaz ya elim yangu but nilipobadili mtizamo,SAIV NIMEAJILIWA NA MSANII MKUBWA TU TZ NIKIMFANYIA KAZ AMBAZO ZIMO NDANI YA UWEZO WANGU INGAWA SIKUZISOMEA NA NA NINA UMRI MDOGO TU BUT KIPATO CHANGU NI KIKUBWA TU MARA 3 YA KILE NILICHOTALAJIA KULIPWA KWA TAARUMA YANGU..USICHAGUE KAZI
 
Ningekua nachagua kazi...nisingethubutu kuweka vyeti vyangu chini na kuanza kubeba tofali. Sijakuelewa bro....unanipa hasira tu hapa. Naona kama umeandika mavimavi tu...mnabebwa kishkaji na watu..mnapata maisha kirahisi afu mnatukejeli. Pritenda wakubwa!!!!!
 
Kama utaweza kumtafuta Lowassa ukampata anaweza kukusaidia. kuna vijana kama 2 hivi nimeshawai kuwasikia wanasema walimtafuta, walienda mpaka dodoma, wakaonana nae akawasaidia... Jiribu kumuona huyu mheshimiwa...
 
ki ukweli hali unayoipitia naifahamu vizuri sana tena sana. Mm hapa arusha nimehaso sana tena sana kaka.yaani inafika mahali ni kama unapata mawzo ya kumkufuru MUNGU kwa jinsi wazazi walivyo maskini na unaweza hivi wakati wazazi wengine walipokuwa wanatafuta hizo hela wazaz wangu walikuwa wapi? watoto wa maskini tunapata shida sana tena sana kwenye suala la ajira....! MUNGU AKUTANGULIE KAKA...! tUPO PAMOJA.
 
Asante kaka. Barikiwa sana
 
Kumpata Lowasa nampataje sasa kwa mfano?..na huko aliko naendaje?..kwa miguu ama??..kaka unaongea ma vapour tu hapa. Tindikali..viongoz wakubwa kama hao si rahisi kuwaona kirahisi rahis kiivo. Pritenda mkubwa....
 
Nakutunuku cheti cha uzoefu wa kutafuta kazi. Ongera sana.
 
Back
Top Bottom