Daah Ajira ngumu aisee!

Daah Ajira ngumu aisee!

duuh, pole sana ndugu yng ila cjui kwa nn umeteseka ivo. kwani una GPA ya ngapi? 7bu hiyo c2ation yako ina2tisha 2liopo chuo huku
 
Kitu nachoona, huenda unaangalia zaidi kazi za 'accounts'.Kwa elimu yako unaweza omba kazi zozote za 'social sciences'.Usichague fani,usionyeshe wewe ni 'desparate' kwenye usaili na pia jaribu kuwa 'current' katika mambo mbalimbali.Pia kuwa mahiri kwenye fani yako wakati wa usaili kwani wewe ndiyo mtaalam.Wakati wa majadiliano ya mshahara hakikisha ujuzi wako siyo 'cheap'.Pia kumbuka 'sanaa' kidogo inakubalika..
 
Kweli watu wagumu kusaidia nilitegemea kwa kujieleza kote ungekuwa umeshapewa kazi sasa wote mara jipe moyo mara una gpa ya ngapi yaani shida tupu.mpeni kazi hiyo laki saba atawapa tu.
 
Daah majanga,si ndo hhapo utawasikia clouds ooh tupo kigoma tunawaonyesha fulsa ------- zao,tatizo sio fulsa tatizo MTAJI
"Vox popoli vox dei"
 
Asante kwa ushauri mzuri
 
kb52 umenifurahisha sana. kwanza jinsi ulivyotumia lugha kimzaha kulielezea jambo serious kama unaigiza vile.mtu anaweza akoana kama unaongopa. pili nakumbuka tulipokuwa university watu walikuwa wanawacheka wanaosomea ualimu. na baada ya kuhitimu waliosomea ualimu wanawacheka waliowacheka. pole sana hadi tofali umebeba pale WHITE INN jirani na Tanesco na MUM ile kazi naijua ni ngumu sana
 
Ukisoma vizuri thread yangu na sehemu mbali mbali nilizoitwa kwenye interview utaelewa uwezo wangu. Watu wananiambiaga Muda haujafika eti.


God's time is the best.
 
Polisi sitaki kabisa kuwasikia. Jamaa waliwahi kunivuta korodan zangu. Sitaki kabisa hata hilo jina. Mavi mavi tu wale

Du? Hao polis walikuwa wanatafuta nini wakasahau na kuanza kuvuta korodan zako?
Pole sana. Fanya bidii uende polis ili na wewe uanze kuvuta korodan za wengine.
 
i feel bad kwa kweli na hii ndo hali halisi!! I dont knw wht to say
....Yaani mpaka nishamwambia mama/baba angu bora tusingepoteza hela ya ada maana naona km haina maana hata ya kusoma
 
Pole dadaangu. Ila ipo siku......Mungu mkubwa!!..tuendelee kumwamini.
 
Usichague kazi fanya chochote upate kipato hata kama hakina adhi ya elimu yako siku moja mungu atakuinua mwanzoi mgumu always
 
Kama umesoma vizuri...nimeandika. .ilifikia mahala nikaweka elimu yangu chini. Nikaanza kua nabeba matofali sehemu wakatofyatua matofali ya kuuza. But nilishindwa....
 
Unataka nigegedwe na mimi ama??..sijakuelewa
 
Fanya mitian ya nbaa ..ukipass omba kweny audit firms utapata ...accounting is a tough but rewarding profession ..pia Muombe sana Mungu na usiache kwenda kanisani /mskitini ...serikalin ni ngumu sana kupata kama huna referee these days

Unajua ma-ujanja ni kusifu na kumwabudu Mungu. Kipengele hiki watu wanakiona cha kishamba au kilichopitwa na wakati lakini kinafungua vifungo vingi sana, kinakupa kazi unayotaka, kinakuwezesha wewe kuishi kwa kujiamini.
 
Daaah mkuu pole sana aisee ningekua na nafasi nzuri mkuu ningekupa kazi sema ndo hivyo tena..inawezekana man wamekufanyia juju huko..kama vipi sali sana mkuu..ingawa unasali sana lakini daaah paka nashindwa nisemeje yani..!!!
 
Unajua ma-ujanja ni kusifu na kumwabudu Mungu. Kipengele hiki watu wanakiona cha kishamba au kilichopitwa na wakati lakini kinafungua vifungo vingi sana, kinakupa kazi unayotaka, kinakuwezesha wewe kuishi kwa kujiamini.

It's true ..Mungu anasaidia sana...nilishawai itwa kweny interview in a reputed orgz..the day b4 the interview nikapigiwa cm nikaambiwa cjapata...i said ok ...nikaendelea kumwomba Mungu cause he knows what is best for me ..after one week nikaitwa pale pale
 
Asante Da Caro kwa ushauri
 
Back
Top Bottom