Daaah nahisi nimechapiwa na sina namna

Daaah nahisi nimechapiwa na sina namna

Binadamu tunapenda sana vurugu hata palipo na amani.
 
Maisha ya ndoa ni changamoto sana....ukiwa na fikra za kutomuamin mwenzi wako utajiumiza ww na nafsi yako maana kila wakat utataka ujue yuko wapi,na nani,anafanya nn kwann n.k....
Hii hali n mbaya sana,instead muache tu ajichunge yy mwenyewe maana huwez kumchunga MTU mzma kama wew, akinuia kuchepuka atachepuka tu ila za mwizi n 40,hawez danganya bila kuja kukamatika....
Usipomuamin mwenzi wako hata akikuambia jambo LA kweli wew utahis kachepuka tu na akishajua wew unamuspy sana na humuamin ndio ataamua kufanya kweli ili tuhuma unazomtuhumu zithibitike...
Aminianeni tu
well said mkuu
 
Kuna wanaume wengine mabwege sana.. mwanamke wako unahisi umechapiwa ila hauna uhakika. Unajua wewe neo ungefanya utafiti kama kweli kashughulishwaa. Ungeomba mecho na ungempa show ya kibabeee hatarii yaan ssiku ingine haendi kufanya ufyoko wakeee.. ukihisi hivyo omba mechi na utajua kuwa kafanya au hajafanyaa..
Narudia mpe show ya kibabe siku anayorudi usingoje apumzikee.. ningekuwa mwanamme mie mpz wangu angekomaaa.
 
Nikweli
Angeenda kujiumiza zaidi kwasababu ni wazi kabisa angemkosa hapo kwa kaka ake.

Bora amekubali matokeo kiungwana maumivu sio makubwa saana
Nikweli angeumia ila angekua na kizibiti ambacho kingetumika kwenye maamuzi yake yuu ya tukio husika
 
Huyo kishaliwa,na hii michezo ya kina amber ruty iko kama fashion,sijui km hiyo njemba haijitindua mtaro
 
Haukuwa na namba ya kaka yake (shemeji yako) umuulizie?. Ilibidi mda huo unaona yy hapokei cm ungempigia kaka yake nakumuuliza hapo ungekua kama kweli kafika huko au ndo hivyo tena anakusaidia ku-share.
 
sawa leo kwangu kesho kwako mkuu
naona una uchungu sana kwanza umekimbikia kuoa ya nini? Ungetakiwa ukule kwanza papuchi mpaka mnyama aote sugu kisha ndo uamue kutafuta wa kuzeeka naye ona sasa ushatengeneza kapresha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom