Daaah nahisi nimechapiwa na sina namna

Daaah nahisi nimechapiwa na sina namna

sawa leo kwangu kesho kwako mkuu
Ni kweli lakn .....mm huwa ikitokea hvo huwa nachukua hatua ili yasije kunitokea puani siku za mbeleni ,lakn kwa upande wako unaonekana huyu demu kakushika sana hufurukuti..

Kumbuka wanawake ni kiumbe pekee kilicho onana na shetani wakapiga stori za kuangamiza uzao wa Mungu na dunia kwa ujumla!!

Take care!!!
 
Maisha ya ndoa ni changamoto sana....ukiwa na fikra za kutomuamin mwenzi wako utajiumiza ww na nafsi yako maana kila wakat utataka ujue yuko wapi,na nani,anafanya nn kwann n.k....
Hii hali n mbaya sana,instead muache tu ajichunge yy mwenyewe maana huwez kumchunga MTU mzma kama wew, akinuia kuchepuka atachepuka tu ila za mwizi n 40,hawez danganya bila kuja kukamatika....
Usipomuamin mwenzi wako hata akikuambia jambo LA kweli wew utahis kachepuka tu na akishajua wew unamuspy sana na humuamin ndio ataamua kufanya kweli ili tuhuma unazomtuhumu zithibitike...
Aminianeni tu
 
Kwanini unawaza hivyo? Mwache awe free tu, kama unampenda muamini, nguvu ya kukusaliti au kutokusaliti iwe juu yake, sasa sisi wenye wake ofisi zipo mikoa mingine na hatuonani hata miezi miwili tuishije? Kupigapiga simu mara kwa mara inaboa, ndo mana anakukaushia, anajua una wivu sana kitu ambacho kinamkera, jiamini tu. Unaweza kusema labda ataleta magonjwa, ukumbuke gari inaweza kukugonga pia kwa hayo mawazo yako hasi halafu UNAKUFA.
 
Daaaah out off mood

Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.

Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee

wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
Bora hata ungejifikiria mwenyewe ukaja jihakikishia akirudi
Humu unaongezea pressure tu

By the way hofu yako tu mkuu
Kwani haumuamini?

Anaweza akawa kweli alikuwa busy,Ila vile vile huenda kuchapiwa kupo,ila usikupe nafasi saaana,kama kweli utagundua tu soon,hatachelewa kubadili tabia.
 
Maisha ya ndoa ni changamoto sana....ukiwa na fikra za kutomuamin mwenzi wako utajiumiza ww na nafsi yako maana kila wakat utataka ujue yuko wapi,na nani,anafanya nn kwann n.k....
Hii hali n mbaya sana,instead muache tu ajichunge yy mwenyewe maana huwez kumchunga MTU mzma kama wew, akinuia kuchepuka atachepuka tu ila za mwizi n 40,hawez danganya bila kuja kukamatika....
Usipomuamin mwenzi wako hata akikuambia jambo LA kweli wew utahis kachepuka tu na akishajua wew unamuspy sana na humuamin ndio ataamua kufanya kweli ili tuhuma unazomtuhumu zithibitike...
Aminianeni tu
Hata uwe unamuamini vipi, kuchapiwa lazima
 
Hata uwe unamuamini vipi, kuchapiwa lazima
Hehehe,hujanielewa nilichomaanisha mkuu.....

Lakin Kuchapiwa sio lazma, ukifanya tendo hili likawa lazma bhc n sawa na kusema waaminifu hawapo tena siku hizi,jambo ambalo sio kweli
 
Hehehe,hujanielewa nilichomaanisha mkuu.....

Lakin Kuchapiwa sio lazma, ukifanya tendo hili likawa lazma bhc n sawa na kusema waaminifu hawapo tena siku hizi,jambo ambalo sio kweli
Hah, waaminifu hakuna kweli siku hzi mkuu!! Pia usimuamini mtu kwa 100% maana utajuta
 
Daaaah out off mood

Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.

Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee

wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
Pole sana brother.

Wanasema Wasiwasi ndiyo akili kiasi flani.
Ila kubali matokeo, mapenzi hayajifichi, siku wakitaka kukutana tena ataaga tena tu.

Jitahidi upafamu kwa kila ndugu zake, ili siku akitaka kutoka tena, muage vizuri tu.
Then, siku akienda kulala huko usubirie usiku upige simu umuulize yuko wapi.
Sasa uende huko huko usiku ujifanye kuna jambo limetokea nyumbani, hata saa sita nenda utajionea.

Kama ni mchepukaji siku hiyo hutomkuta alipokuaga anakwenda.
Hapo sasa ndipo uchukue maamuzi halisi ya kiume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom