Daaah nahisi nimechapiwa na sina namna

Daaah nahisi nimechapiwa na sina namna

1.Kwenda kwa kaka yake lazima apige simu amefika na wewe usalimie shemeji yako
2.Hakuna mke asiyepokea simu ya mumewe kwa zaidi ya saa 6 tena akalala huko huko
3 Inaonekana kuna matatizo ,na huenda ana kabwana kapya na sasa kanamchanganya hadi kukusahau wewe

Pole sana fanya uchunguzi wa kina utagundua yaliyotokea mkuu
 
Ukiweza muombee game Leo utaona utofauti aisee...!!
Hata kama atamuomba mzigo ni lazima atapewa tena kwa ujuzi wa hali ya juu tena kwa energy kubwa mno ili kuficha alichokufanyia. Atajifanya kakumis kumbe sifuri
 
mawazo potofu ,inawezekana una tabia hizo ndio maana unamuwazia mwenzio vibaya
 
Write your reply...dah unaongeza stress tu Bora ungekaa kimya aiseeeh
 
tehe tehe....ioshe utomb.e ayo megine achana nayo utajiumiza bure; watu wanaaga wanaenda kazini wanaishia hotel sembuse uyo kwa dada waiii
 
Daaaah out off mood

Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.

Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee

wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
mawazo yako tuuuu mke kutokupokea cm ni kawaida sana inategemea na jinsi ulivyomfudisha kama kakuzoea saaaaana na we umeshaonyesha kumpenda sana basi pokea machungu yake hawa viumbe hupaswi kuwapenda sana hadi wakajua unawapenda ni lazima watakuua we nahc siku zako za kufa zinahesabika,omba sana Mungu akupe ujasiri na uvumilivu japo back up inahusu ila ni dhambi
 
Huyo mkeo atakuwa analinda ndoa yake maana tigo hawezi kukupa wewe eti utamuacha
 
Mchunguze! Ila unaelekea mpole Sana kwake huna sauti!
Yaan me mume wangu apige cm ucpokee!?? Atume msg ucjibu...mpaka asbh yake?!! Cjipendi labda..mana hata iwe kwa bahat mbaya msimu upo kwenye poch hujackia balaa lake cmchezo! Sembuse huyo alieenda kulala hukohuko AF Hana wasiwasi lol
 
Usijali mkuu acha kuwekeza moyo kwa hao viumbe halafu hata jamaa hajapiga vingi ukute bao mbili tu so relax nigga [emoji38]
 
Calm dowm brother. Inaonekana una tatizo la kuto kujiamini. The only way unaweza kujua ukweli ni kumuuliza kaka yake au huyo shemeji. Kama alikuja au lah?
Otherwise stay calm chunguza bila yeye kujua
Daaaah out off mood

Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.

Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee

wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom