mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Habari waungwana...
Jamani mapenzi ni sumu katili sana inauwa ipendavyo kwa haraka au taratibu.
Hakuna maisha yanayokamilika kwa mtu hadi awe na upendo na upendo ule wa zamani hakuna kila unaemuona anatoka chozi basi sababu yake ni mapenzi
Wadau tuangalienyi nyimbo hizi hapa utakubaliana na mimi na utafarijika
Pia toa mawazo yako mi zimenifariji sana hizi nyimbo
http://m.youtube.com/#/watch?v=zNpeK7sDLzE&desktop_uri=/watch?v=zNpeK7sDLzE
http://m.youtube.com/#/watch?v=Y8HOfcYWZoo&desktop_uri=/watch?v=Y8HOfcYWZoo
Jamani mapenzi ni sumu katili sana inauwa ipendavyo kwa haraka au taratibu.
Hakuna maisha yanayokamilika kwa mtu hadi awe na upendo na upendo ule wa zamani hakuna kila unaemuona anatoka chozi basi sababu yake ni mapenzi
Wadau tuangalienyi nyimbo hizi hapa utakubaliana na mimi na utafarijika
Pia toa mawazo yako mi zimenifariji sana hizi nyimbo
http://m.youtube.com/#/watch?v=zNpeK7sDLzE&desktop_uri=/watch?v=zNpeK7sDLzE
http://m.youtube.com/#/watch?v=Y8HOfcYWZoo&desktop_uri=/watch?v=Y8HOfcYWZoo