super black Boy
Senior Member
- Oct 15, 2019
- 135
- 169
Daaah!! week mbili kama zilizopita kuna demu moja hivi alihamia mahali nilipopanga, kwa kweli demu ni mzuri yaani nimetokea kumuelewa vibaya mno.
Huyu manzi huwa ananisaidia sana kwenye issue za msosi maana naweza nikanunua mboga then yeye anafanya makeke huko baadaye mzee mzima napakuliwa nakaribishwa. Na ukiangalia mimi hapa nakaa peke yangu so sometimes kupika huwa nachoka sana so kuja kwake nimeona kama ni mkombozi kwa kweli.
Tatizo ni kuwa demu nimetokea kumuelewa lakini sasa ananiambia ana mtu wake na anampenda sana lakini nikajaribu kumuambia tutoke out za usiku wala hakatai na hapa ametoka amesafiri na nimemwambia akirudi nitamtoa out twende tukale dinner na kusikiliza music katika moja ya pub nzuri sana hapa town.
Wale wataalam wa mbinu za kufanya huyu demu aje anielewe nifanyaje jamani roho yangu itatulia nikiona nalala naye kitanda kimoja kuhusu kama kweli ana mshikaji wake mimi I don't care kabisa maana haya maisha ni kama mbio za kupokezana vijiti.
Nawatakia siku njema
Huyu manzi huwa ananisaidia sana kwenye issue za msosi maana naweza nikanunua mboga then yeye anafanya makeke huko baadaye mzee mzima napakuliwa nakaribishwa. Na ukiangalia mimi hapa nakaa peke yangu so sometimes kupika huwa nachoka sana so kuja kwake nimeona kama ni mkombozi kwa kweli.
Tatizo ni kuwa demu nimetokea kumuelewa lakini sasa ananiambia ana mtu wake na anampenda sana lakini nikajaribu kumuambia tutoke out za usiku wala hakatai na hapa ametoka amesafiri na nimemwambia akirudi nitamtoa out twende tukale dinner na kusikiliza music katika moja ya pub nzuri sana hapa town.
Wale wataalam wa mbinu za kufanya huyu demu aje anielewe nifanyaje jamani roho yangu itatulia nikiona nalala naye kitanda kimoja kuhusu kama kweli ana mshikaji wake mimi I don't care kabisa maana haya maisha ni kama mbio za kupokezana vijiti.
Nawatakia siku njema