PostGE2025 D9 imeleta taharuki ya Mafuta, usafiri, vyakula & Condoms

PostGE2025 D9 imeleta taharuki ya Mafuta, usafiri, vyakula & Condoms

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,226
Reaction score
39,713
Watu wameingia kwenye taharuki kufuatia kinachoitwa D9 ambacho ni maandamano yaliyopangwa kufanyika

usafiri wa umma, vituo vya mafuta, upatikanaji wa Kondomu na vyakula vikavu. CHADEMA ndio wanapaswa kulaumiwa!

pharm_solomon_5143857.jpg
 
Watu wameingia kwenye taharuki kufuatia kinachoitwa D9, usafiri wa umma, vituo vya mafuta, upatikanaji wa Kondomu na vyakula vikavu. CHADEMA ndio wanapaswa kulaumiwa!
Utekaji na mauaji afanye Samia na serekali yake, lawama wapewe CHADEMA
 
Watu wameingia kwenye taharuki kufuatia kinachoitwa D9, usafiri wa umma, vituo vya mafuta, upatikanaji wa Kondomu na vyakula vikavu. CHADEMA ndio wanapaswa kulaumiwa!
Usafiri imekuwaje mkuu nataka kwenda moro kesho
 
Hapo kwenye condom tafadhali wasipandishe bei. Wengine starehe zetu siyo kuangalia soka,kutalii, au nini sijui, ni kupiga mitiiii...mitiiii.
 
Back
Top Bottom