Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,041
- 13,689
Vp mkuuu tunakungojaHahahah! Hatari sana..
Vp mkuuu tunakungojaHahahah! Hatari sana..
nakuelewa, which means ilikuwa ni mchoro wa watu wote wale waliobaki kwenye ndege (ma pilot, engineer, flight attendant) na Cooper aliyeshuka airport Washington Takoma.
Tatizo na hiyo theory at least to me ni kwamba ina watu wengi mno. Dola laki 2 alizopewa gawanya kwa watu watano ni $40,000. Ambayo kwa hela ya leo ni kama $ 230,000 kila mmoja.
Hicho kiasi hakijazidi sana mshahara wa pilot. Sasa kwa nini ma pilot wahatarishe career yao (na maisha yao pia) kwa kufana ujambazi mgumu namna hiyo?
Vp mkuuu tunakungoja
Atakua anangoja story nyingineSimulizi ishakwisha fanya mambo yako bandugu
Just thatKm hawa Vinara wa masuala ya usalama na upelelezi walisalimu amri,ujue kwamba jamaa alianza kufikiri kama wao kabla ya tukio,Halafu akafikiri kama yy ili KUKAMILISHA TUKIO ktk njia ambayo hata wana usalama wakifikia kubaini basi yeye awe kishabaini plan B AU C nyingine iliyo bora ZAIDI....
Mimi nadhani kuwa hakuruka na parachute pale ila alijaribu kuwadanganya FBI kuwa karuka ila akajificha kwenye hiyo ndegeNaona tunawaza kitanzania zaidi.
Tunapo-conclude kuwa mchezo mzima ulimalizwa kwenye ndege na jamaa alishuka na mateka tujiulize;
1. Kama alishuka na mateka ina maana hakuonekana kabisa kabisa na wahudumu wote wa uwanja na wana usalama wote pamoja na FBI!
Lile begi la mapesa na ukubwa wake halikuonekana kabisa jamani!
2. Kama alishuka pale uwanjani, ni nani aliwafungia wale wahudumu wanne kwenye cockpit yaani pilot wawili, fundi na yule dada mhudumu maana tunaambiwa Cooper ndiye aliyewafungia, tena ndege ikiwa imeshapaa.
Kwa hiyo dhana ya kusema jamaa alishuka na abiria pale uwanjani inafutika kabisa.
3. Ni dhahiri wakati wametua kwenye uwanja wa Reno Navada ile usiku, (ambao ni lazima ulikuwa na ulinzi wa kutosha) waliomba msaada kwa wanausalama wawafungulie mlango wa cockpit kwa sababu walikuwa wamefungiwa na mtaalam Cooper. Na kama mlango ulionekana umefungwa kweli, basi ni dhahiri kabisa Cooper aliruka kwenye ile ndege, yaani aliondoka nayo na hakufika nayo.
4. Tunapohitimisha kuwa lile ni dili lililopangwa na FBI, ina maana hawakufikiria kabisa kuwa zile noti zingekuwa recorded! Walishindwa kufanya maandalizi ya kumpanga kabla mtu/watu watakatoa wazo la kuchukua alama za zile noti ili wafanye tofauti au wasitoe wazo! Kwa sababu huyu ndiye aliyeharibu dili kwa kiasi kikubwa.
5. Kama kweli hii ni dili iliyochezwa na watu wengi, basi walifanikikiwa kwa kila hatua kiasi kwamba kila mhudumu wa wiwanja vyote viwili alijua kila kitu kwa kweli walikuwa wasiri sana.
KAMA HAWA JAMAA WANGEKUWA WANAWAZA KITANZANIA KAMA SISI KWA KUWA NA MAJIBU RAHISI KWA MASWALA MAGUMU, NI DHAHIRI MAJIBU YANGESHAPATIKANA SAA 24 TU MARA BAADA YA NDEGE KUTUA NEVADA. MTU/WATU WANGEKUWA WANAOZEA JELA SASA HIVI.
Swadakta! Sahihi kabisa mkuu.. Kwa maoni yangu nimebaini kuwa wahalifu wengi waliofanikiwa kwa kiwango cha juu; kwanza waliplan kwa muda mrefu na walijaribu kufikiri kwa namna ambayo watakaokuja kuwatafuta watakuwa wanafikiri kisha wakaongzea akili na mbinu zao.. Walikuwa wanafikiri miaka miwili au mitano mbele na waliweka mikakati mbadala A, B, C!!Km hawa Vinara wa masuala ya usalama na upelelezi walisalimu amri,ujue kwamba jamaa alianza kufikiri kama wao kabla ya tukio,Halafu akafikiri kama yy ili KUKAMILISHA TUKIO ktk njia ambayo hata wana usalama wakifikia kubaini basi yeye awe kishabaini plan B AU C nyingine iliyo bora ZAIDI....
kwa mtazamo wangu huu mchezo ni sawa na ule wa wizi wa almasi kule ubelgiji..........Swadakta! Sahihi kabisa mkuu.. Kwa maoni yangu nimebaini kuwa wahalifu wengi waliofanikiwa kwa kiwango cha juu; kwanza waliplan kwa muda mrefu na walijaribu kufikiri kwa namna ambayo watakaokuja kuwatafuta watakuwa wanafikiri kisha wakaongzea akili na mbinu zao.. Walikuwa wanafikiri miaka miwili au mitano mbele na waliweka mikakati mbadala A, B, C!!
Mtu mwenye uwezo wa kung'amua kitu utakacho waza kabla wewe mwenyewe haujakiwaza au kujua mbinu utakayotumia kabla mwenyewe haujaipanga ni ngumu mno kumkamata kwani mara zote atakuwa mbele kimawazo na kimkakati! Wewe ukifikia kuwaza 2 mwenzko amekwisha waza 3 na 4! Naamini D.B Cooper alikuwa ni mtu wa kaliba hii.
Umeisomea wapi mkuu tushirikishe na wengine tumesubiri sana #8..... tag tafadhali
Umeweka kaimoji kwenye link basi na wew unafafana nahako kaimojiUnaweza angalia picha ya kusadikika ya huyo binadamu ambayo FBI walidhani ndo vile anaonekanaFile:DBCooper.jpg - Wikipedia, the free encyclopedia