MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wakuu naona kuna kitu kinakosekana katika kuangalia tabia za huyu mtanzania mwenzetu, naomba tupitie taratiiiiibu na kwa umakini mkubwa cv yake kuna kitu nina uhakika tutakiona
UPDATE:
Jina lake halisi ni Mayagi Mulaga na sio Cyprian Musiba.
Alifeli darasa la saba mara 3.
Akashindwa uchaguzi wa Ubunge jimbo la Mwibara mara 2 (2010 na 2015.)
Ana file la kuwa na maradhi ya akili huko Mirembe tangu 2012.
UPDATE:
Jina lake halisi ni Mayagi Mulaga na sio Cyprian Musiba.
Alifeli darasa la saba mara 3.
Akashindwa uchaguzi wa Ubunge jimbo la Mwibara mara 2 (2010 na 2015.)
Ana file la kuwa na maradhi ya akili huko Mirembe tangu 2012.