Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
UKISTAAJABU YA BASHITE, UTAONA YA MUSIBA
Na Bollen Ngetti
WENYE busara hunena kwamba "ndege wanaofanana huruka pamoja". Kwamba huwezi kukuta bundi akiruka pamoja na mbayuwayu. Ikitokea ni mujiza!
Mwaka 1988 kijana huyu alifeli mtihani wa darasa la Saba mkoani Mara. Baada ya kupata sufuri Mkoani Mara alienda kwa kaka yake Inspekta Masesa (sasa marehemu) Mkoani Tabora na kurudia darasa la Saba katika Shule ya Msingi Magereza hapo akiitwa MAAGI MULAGA hapo ni 1989 ambapo alifeli tena mtihani wa darasa la Saba kwa mara nyingine! Lakini kijana huyu alipoibuka jijini Dar es salaam akaibuka na ubatizo mpya wa CYPRIAN MAJURA MUSIBA!
Huyu ndiye aliyeapa kupambana na wakosoaji wa Serikali ambapo ama anawalemaza au kuwaua kwa mateso makali!
Huyu ndiye ameapa kupambana na Membe kufa na kupona. Huyu ndiye mtukanaji mkubwa wa wastaafu bila soni! Huku DAB kule MULAGA!
#AchaWoga2020
Na Bollen Ngetti
WENYE busara hunena kwamba "ndege wanaofanana huruka pamoja". Kwamba huwezi kukuta bundi akiruka pamoja na mbayuwayu. Ikitokea ni mujiza!
Mwaka 1988 kijana huyu alifeli mtihani wa darasa la Saba mkoani Mara. Baada ya kupata sufuri Mkoani Mara alienda kwa kaka yake Inspekta Masesa (sasa marehemu) Mkoani Tabora na kurudia darasa la Saba katika Shule ya Msingi Magereza hapo akiitwa MAAGI MULAGA hapo ni 1989 ambapo alifeli tena mtihani wa darasa la Saba kwa mara nyingine! Lakini kijana huyu alipoibuka jijini Dar es salaam akaibuka na ubatizo mpya wa CYPRIAN MAJURA MUSIBA!
Huyu ndiye aliyeapa kupambana na wakosoaji wa Serikali ambapo ama anawalemaza au kuwaua kwa mateso makali!
Huyu ndiye ameapa kupambana na Membe kufa na kupona. Huyu ndiye mtukanaji mkubwa wa wastaafu bila soni! Huku DAB kule MULAGA!
#AchaWoga2020