Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Aiseeeeh!!!!!!!
Duh! Mbona mm sijawahi kuziona?
Kukaa karibu na mahakama si kujua sheria.
We Dom ye Dar
Aiseeeeh!!!!!!!
Duh! Mbona mm sijawahi kuziona?
Umeona eeeeeee.
Yaani tulianzia hospital, tukaingia kwenye upenzi....ghafla kupigana mapicha, then nayakuta mtandaoni....goshhhhh!!!!!
Mtandao hauna cha umbali shemu...Kukaa karibu na mahakama si kujua sheria.
We Dom ye Dar
Hakuna cyber bullying Tz. Mtu anaekua bullied online can always pull him/herself out. Kama ni picha za utupu kuachiwa online they shouldn't have taken them in the first place. Mambo mengine ni utoto na skendo zingine za kijinga ambazo wanaoanzisha na victims wote wanataka attention.
Punguzeni uzungu tuna matatizo mengi ya kushughulikia kabla ya kudiscuss cyber bullying. Tena, sijaona na hakuna cyber bullying Tz so far
Kama yule mwanaharamu daktari wa IMTU, aliyenisambazia picha zangu za utupu, kwa kweli kila nikifikiria nakosa la kufanya.
Yote namuachia Mungu....ila ipo siku.
Sio lazima mtu anayekusambaza uwe umeongea nae au unajuana nae!Mwengine humjui na hakujui na anakutafuta ubaya.Mtu anayekaa na kubully wenzake ni mgonjwa na ni mkosaji tatizo anakuwa hana vithibitisho na vigezo vya kutosha vya kukutake down ndo anakuzushia vitu vya kipuuzi.Ila sikatai wengine wanajitakia wasambazwe na inakuwa somo kwao.Kwa hiyo mnataka wote tuwe na ideas sawa? Wengine wataleta utoto, masikhara, ujinga na upuuzi. Ndivyo maisha yalivyo, hata huko mitaani, kazini, misikitini na makanisani ndivyo watu walivyo..!
Mtu kwenye busara anachanganua kipi cha kuchangia na kipi sio cha kuchangia. Ajabu Ni kuwa tunalalamika lakini ikija thread ya kipuuzi sie ndio wa kwanza kuipa traffic.
Kuwa bullied mtandaoni ni kujitakia tu. Ukishea na mtu privacy zako, humjui-hakujui, akija kukugeuka unamlaumu nani. It's simple, don't share your privacy with everyone. Mnatuma picha za uchi au mnatongozana mtandaoni...unategemea mkikosana itakuwaje?
Kweli, humu mtu uatakiwa kuwa makini, kuna ngoma zinapigwa chini chini, unaweza kujikuta unacheza ngoma usiyoijua...
Umeona eeeeeee.
Yaani tulianzia hospital, tukaingia kwenye upenzi....ghafla kupigana mapicha, then nayakuta mtandaoni....goshhhhh!!!!!
picha zipi hzo embu nitumie kule nizione
Hahaha pachaa siku hizi hata pm za mitongozo zinasambazwa..... Wenyewe wanaziita screen shots.ndo maana mishe mishe umbea pm sizipendi kabisa kama una deal la pesa hapo sawa njoo pm au kutongoza pia twende pm ila sio upuuzi wa maumbeya
Hahaha pachaa siku hizi hata pm za mitongozo zinasambazwa..... Wenyewe wanaziita screen shots.
Khatari kabisa shekh.
Khatari ya screen shots muulize Vicky Kamata , ilimuharibia ndoa shekh.
ha ha ha ha acha nicheke japo si mazuri, huo nao unaweza kuwa ni ugonjwa wa akili kwakweli kuna vitu ukiviwaza hata huwa havina majibu HOW! HOW! mtu hakujui hata chembe ila anshika kibendera kabisa kuongea uongo tena anajitutumua kabisa kuconvince watu wamuamini...ni kautahira nadhani!!!!Sio lazima mtu anayekusambaza uwe umeongea nae au unajuana nae!Mwengine humjui na hakujui na anakuyafuta ubaya.Mtu anayekaa na kubully wenzake ni mgonjwa na ni mkosaji tatizo anakuwa hana vithibitisho na vigezo vya kutosha vya kukutake down ndo anakuzushia vitu vya kipuuzi.Ila sikatai wengine wanajitakia wasambazwe na inakuwa somo kwao.
Umeongea ukweli, kuna thread kama mbili nilizisoma umu niliishia kusoma nakuchoka tu. Yani mmetofautiana na mtu kitaa alafu unakuja kumwanzishia mada ni zaidi ya ushamba ila ni unyama.
Mimi siku moja namzingua member mmoja umu kimasihara tu nashangaa eh pm zina miminika napewa big up napewa mpaka taarifa nisizoomba kwa kweli nilishtuka nikaona kumbe kuna mambo sio kama tunavyoyachukulia wengine unaweza kucheza muzki usioujua.
Kwanini isiwepo cyber bullying Tz?Hakuna mawasiliano kwa njia ya mitandao?Hivi hata unajua unasema nini lakini?Mpaka hapa JF ipo cyber bullying au huu sio mtandao wa watz?Hakuna cyber bullying Tz. Mtu anaekua bullied online can always pull him/herself out. Kama ni picha za utupu kuachiwa online they shouldn't have taken them in the first place. Mambo mengine ni utoto na skendo zingine za kijinga ambazo wanaoanzisha na victims wote wanataka attention.
Punguzeni uzungu tuna matatizo mengi ya kushughulikia kabla ya kudiscuss cyber bullying. Tena, sijaona na hakuna cyber bullying Tz so far
Kwa hiyo mnataka wote tuwe na ideas sawa? Wengine wataleta utoto, masikhara, ujinga na upuuzi. Ndivyo maisha yalivyo, hata huko mitaani, kazini, misikitini na makanisani ndivyo watu walivyo..!
Mtu kwenye busara anachanganua kipi cha kuchangia na kipi sio cha kuchangia. Ajabu Ni kuwa tunalalamika lakini ikija thread ya kipuuzi sie ndio wa kwanza kuipa traffic.
Kuwa bullied mtandaoni ni kujitakia tu. Ukishea na mtu privacy zako, humjui-hakujui, akija kukugeuka unamlaumu nani. It's simple, don't share your privacy with everyone. Mnatuma picha za uchi au mnatongozana mtandaoni...unategemea mkikosana itakuwaje?
Indigo awareness ribbonha ha ha ha acha nicheke japo si mazuri, huo nao unaweza kuwa ni ugonjwa wa akili kwakweli kuna vitu ukiviwaza hata huwa havina majibu HOW! HOW! mtu hakujui hata chembe ila anshika kibendera kabisa kuongea uongo tena anajitutumua kabisa kuconvince watu wamuamini...ni kautahira nadhani!!!!
Kama yule mwanaharamu daktari wa IMTU, aliyenisambazia picha zangu za utupu, kwa kweli kila nikifikiria nakosa la kufanya.
Yote namuachia Mungu....ila ipo siku.
Cyberbullying is the use of information technology to repeatedly harm or harass other people in a deliberate manner.[1] According to U.S. Legal Definitions, Cyber-bullying could be limited to posting rumors or gossips about a person in the internet bringing about hatred in others minds; or it may go to the extent of personally identifying victims and publishing materials severely defaming and humiliating them.[2]Hakuna cyber bullying Tz. Mtu anaekua bullied online can always pull him/herself out. Kama ni picha za utupu kuachiwa online they shouldn't have taken them in the first place. Mambo mengine ni utoto na skendo zingine za kijinga ambazo wanaoanzisha na victims wote wanataka attention.
Punguzeni uzungu tuna matatizo mengi ya kushughulikia kabla ya kudiscuss cyber bullying. Tena, sijaona na hakuna cyber bullying Tz so far